Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Baada ya ndugu Pinda kuingia madarakani ameamua kuwa na timu ya watu wake .Pinda na watu wake sasa yuko bize kupata majina ya wakuu wapya wa Mikoa na baadaye nadhani Wilaya. Habari ambazo nimeletewa muda huu na vilunyungu toka ndani ya ofisi ya waziri Mkuu ni kwamba Pinda kanuia kufanya kweli na anataka kwanza wakuu hao wapya. Baada ya siku chache majina yataenda mbele ya Mkuu wa kaya kwa baraka na kutangazwa. Huenda wakatoka hapa wana JF kwenda kusaidia kusafisha na si kuungana na Ufisadi .
Stay awake - JF inashika kasi.
Stay awake - JF inashika kasi.