Tukio la Mtanzania kufariki Ethiopia: Kama kungekuwa na ubalozi wa Zanzibar huko labda ingesaidia

Kwa experience yangu ni mabalozi wenye asili ya Zanzibar ndiyo huwa na msaada,kama ni wa huku kwetu Tanganyika ni wachache mno na mara nyingi ni wale wasio na asili za ulugaluga.
Kuna baadhi ya mabalozi huona kama ni wanapungukiwa wao binafsi pale wanaposaidia dharura mbalimbali kwa raia wa Kitanzania huko wanakotuwakilisha.
Mabalozi wana matatizo mengi sana, mengi sana, wanatakiwa kujiongeza pengi sana.

Mimi wala siwatetei.

Lakini jamani, balozi zetu hizi bajeti zake za manati.

Kweli tunataka zichukue gharama za kusafirisha maiti za watu?

Wakati hao watu wana ndugu zao?

Kwa bajeti gani zinazopewa hizi balozi?

Balozi zina struggle kulipa bili za umeme, maji, kodi za nyumba, mishahara.

Bado tunataka zichukue gharama za kurudisha miili Tanzania?
 
Sio tu kutowalipa wafanyakazi wao bali pia hata kutomlipa landlord wao! Na unaaminu wanafanya hivyo ili wakafanye shopping Dubai? Kumbe unajua kuwa kuna wakati hali yao ya kifedha sio nzuri lakini bado una walaumu kuwa wanaiba pesa ambazo unajua hawana! Watendeeni haki wenzenu.

Amandla...


Hebu tumia akili japo kidogo , ikiwa kuwalipa wafanyakazi wameshindwa hizo pesa za kutoka huko Ulaya kwenda kufanya shopping walizitolea wapi ?? Au wanafanya biashara ??

Kuna hao mabalozi wengine walikuwa wakibadilisha wanawake wa kizungu na kunywa pombe , na kuna wanafunzi wanaoletewa pesa za posho wakizila wakati huku Tz zikipelekwa.
 
Hebu tumia akili japo kidogo , ikiwa kuwalipa wafanyakazi wameshindwa hizo pesa za kutoka huko Ulaya kwenda kufanya shopping walizitolea wapi ?? Au wanafanya biashara ??

Kuna hao mabalozi wengine walikuwa wakibadilisha wanawake wa kizungu na kunywa pombe , na kuna wanafunzi wanaoletewa pesa za posho wakizila wakati huku Tz zikipelekwa.
Kumbe bado umo! Sio wakati wote wanakuwa hawana pesa za kuwalipa wafanyakazi au kulipia pango. Au huyo dada uliyemuona anafanya shopping alikuambia kuwa hajalipwa mshahara?

Wewe kweli una wivu. Sasa hautaki mabalozi wawe na marafiki wa kike na wanywe pombe! Namna mtu anavyotumia mshahara na posho yake inakuuma nini? Au ulitaka atembee na wewe na akunyweshe wewe hayo mapombe?

Ni wachache sana ( kama hata hao wapo) wanaokula posho za wanafunzi. Kinachofanyika mara nyingi ni wao kutumia pesa zilizopo ( posho za wanafunzi, malipo ya visa n.k.) kuendesha ubalozi au kupunguza madeni ya ubalozi wakitegemea kurudishia pale pesa zao za matumizi zitakapoingia. Ndio maana husikii serikali ikiwachukulia hatua, hata pale kilio cha wanafunzi kikiingia magazetini.

Amandla...
 
Kumbe bado umo! Sio wakati wote wanakuwa hawana pesa za kuwalipa wafanyakazi au kulipia pango. Au huyo dada uliyemuona anafanya shopping alikuambia kuwa hajalipwa mshahara?

Wewe kweli una wivu. Sasa hautaki mabalozi wawe na marafiki wa kike na wanywe pombe! Namna mtu anavyotumia mshahara na posho yake inakuuma nini? Au ulitaka atembee na wewe na akunyweshe wewe hayo mapombe?

Ni wachache sana ( kama hata hao wapo) wanaokula posho za wanafunzi. Kinachofanyika mara nyingi ni wao kutumia pesa zilizopo ( posho za wanafunzi, malipo ya visa n.k.) kuendesha ubalozi au kupunguza madeni ya ubalozi wakitegemea kurudishia pale pesa zao za matumizi zitakapoingia. Ndio maana husikii serikali ikiwachukulia hatua, hata pale kilio cha wanafunzi kikiingia magazetini.

Amandla...
Soma vizuri nilichoandika ,weka pembeni jaziba
 
This type of gross ignorance is exactly what I am talking about.

Yani nyie mmeleta matatizo ya familia yenu hapa JF, mmefiwa na ndugu yenu.
Tena kwa vijembe vya inda visivyo staha kuhusu Muungano.

Hili si tatizo la kitaifa.

Hajafa balozi, hajafa mfanyakazi wa serikali. Hili ni tatizo la kifamilia.

Mmelileta hapa tatizo la kifamilia kulialia.

Haya, mimi nawajibu. Nawaambia matatizo ya kifamilia huku watu tunaotumia akili tunayatatua kifamilia.

Hatusubiri serikali.

Halafu wewe na nduguzo mlioleta matatizo yenu ya kifamilia hapa JF, mnashindwa kumzika ndugu yenu mpaka mnaomba msaada wa serikali, jambo la aibu kabisa, mnalialia msaidiwe na serikali, unanilaumu mimi kwa kuleta mambo ya familia yangu hapa?

Nani kaanza kuleta mambo ya familia kwenye uzi huu?

Unaelewa nimeeleza mambo ya familia yangu kwa sababu niliulizwa swali kwamba nikipatwa na tatizo kama hili kwa mtu wa familia yangu nitafanyaje? Ulitaka nisijibu swali nililoulizwa kuhusu familia yangu?

Yani mnaniuliza swali, halafu nikilijibu mnanisema vibaya kwa kujibu swali ambalo mmeniuliza wenyewe?

What kind of sordid rubbish is that?

Wewe ngumbaru jua kwamba serikali ya Tanzania haina bajeti ya kukusafirishieni maiti za ndugu zenu kutoka nje.

Jipangeni kusafirisha maiti za ndugu zenu wenyewe.

Ama sivyo zitazikwa na serikali za nje na watu wasiowajua.

Au hata maiti za ndugu zenu zinaweza kutupwa ziliwe na ndege.

Acheni ujinga wa kutegemea balozi ziwasaidie gharama, wakati balozi zenyewe hohehahe.

Culo grande.,, mejor detengamos este tema., period.!
 
Culo grande.,, mejor detengamos este tema., period.!
Matusi yako yanaonesha umeshindwa kujibu hoja kwa hoja.

Mimi nakufundisha nini cha kufanya ili ndugu yako asipate hitima ya maiti yake kutupwa na kuliwa na ndege nchi za ughaibuni.

Wewe unanitukana.
 
Suala si ukoefu wa Fund , bali Nchi yetu ina Policy mbaya kwa raia wake.
Iliwahikutokea miakaya nyuma Pale Thailand , Wageni walikamatwa kutoka nchimbali mbali wakiwa hawana documents za kusafiria.
Serikali ya Thailand ikazishauri Balozi za nchi husika ziwapatie Raia wao Traveling Documents na wao watawaruhusu waishi na kufanya kazi bila kuwarudisha..
Mataifa yote yaliwapa raia wao Passport na kuwaacha wafanye kazi Thailand ,lakini TZ waliwarudisha Nyumbani bila huruma.
Balozi kule alikuwa Mapuri kama sikosei
November 14, 2006Omar Ramadhan Mapuri
Watanzania nasi mbona tuna roho Mbaya kiaina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majukumu ya Balozi si kusafirisha Maiti zinazoenda nchini kwake bwana mdogo.
Hoja ya kitoto. Ungeishia japo kutoa pe tu ingefaa. Kwa akili yako kama familia ya marehemu isingekuwa na uwezo wa kumsafirisha marehemu wao ungeona ni sawa tu mwili ubakie ethiopia?
 
Pole sana. Kunyamaza ni jibu hivyo naomba ninyamaze kabisa juu ya malalamiko yako juu ya Muungano
 
Nadhani ni wewe ndie unaetakiwa kusoma vizuri ulichoandika. Labda haukujieleza vizuri. Hamna mwenye "jaziba" hapa.

Amandla...


Ulichojibu kisome tena labda hujaelewa au jaziba ilikuzidi baadaye soma niliandika nini
 
This type of gross ignorance is exactly what I am talking about.

Yani nyie mmeleta matatizo ya familia yenu hapa JF, mmefiwa na ndugu yenu.
Tena kwa vijembe vya inda visivyo staha kuhusu Muungano.

Hili si tatizo la kitaifa.

Hajafa balozi, hajafa mfanyakazi wa serikali. Hili ni tatizo la kifamilia.

Mmelileta hapa tatizo la kifamilia kulialia.

Haya, mimi nawajibu. Nawaambia matatizo ya kifamilia huku watu tunaotumia akili tunayatatua kifamilia.

Hatusubiri serikali.

Halafu wewe na nduguzo mlioleta matatizo yenu ya kifamilia hapa JF, mnashindwa kumzika ndugu yenu mpaka mnaomba msaada wa serikali, jambo la aibu kabisa, mnalialia msaidiwe na serikali, unanilaumu mimi kwa kuleta mambo ya familia yangu hapa?

Nani kaanza kuleta mambo ya familia kwenye uzi huu?

Unaelewa nimeeleza mambo ya familia yangu kwa sababu niliulizwa swali kwamba nikipatwa na tatizo kama hili kwa mtu wa familia yangu nitafanyaje? Ulitaka nisijibu swali nililoulizwa kuhusu familia yangu?

Yani mnaniuliza swali, halafu nikilijibu mnanisema vibaya kwa kujibu swali ambalo mmeniuliza wenyewe?

What kind of sordid rubbish is that?

Wewe ngumbaru jua kwamba serikali ya Tanzania haina bajeti ya kukusafirishieni maiti za ndugu zenu kutoka nje.

Jipangeni kusafirisha maiti za ndugu zenu wenyewe.

Ama sivyo zitazikwa na serikali za nje na watu wasiowajua.

Au hata maiti za ndugu zenu zinaweza kutupwa ziliwe na ndege.

Acheni ujinga wa kutegemea balozi ziwasaidie gharama, wakati balozi zenyewe hohehahe.


Tatizo ni huu uvamizi wa Baba yenu Laanatullahi Nyerere. Sisi tunataka nchi yetu , tuepukane na haya matatizo kwani desturi zetu na utamaduni wetu ni tofauti na nyinyi.

Ondoeni majeshi yenu yaliyojaa huku , muone kama tutawalaumu kwa chochote
 
Tatizo ni huu uvamizi wa Baba yenu Laanatullahi Nyerere. Sisi tunataka nchi yetu , tuepukane na haya matatizo kwani desturi zetu na utamaduni wetu ni tofauti na nyinyi.

Ondoeni majeshi yenu yaliyojaa huku , muone kama tutawalaumu kwa chochote
Kumbe tatizo haswa mnataka nchi yenu, haya ya maiti kimepanda kimeshuka balozi hazijawasafirishia ni geresha tu?

Sasa kwa nini msifanye mapinduzi kama 1964?

Pindueni serikali mchukue nchi yenu tujue mko serious.

Otherwise, quit bitching around like an unpaid whore.
 
Brother Kiranga, unatakiwa utambue kuwa wazanzibari wengi hawana elimu na hata kama wana elimu hawajui mambo mengi ya kidunia na uelewa wao ni mdogo sana. Ndiyo maana mpaka leo hii wako hivyo kama bokoboko yaani ni walegevu kwa kila kitu mfano kifikra, kimwili n.k.

Hivyo katika kubishana nao jionye kwanza kuwa unabishana na watu wenye uelewa mdogo sana kama nyumbu.
 
Tatizo ni huu uvamizi wa Baba yenu Laanatullahi Nyerere. Sisi tunataka nchi yetu , tuepukane na haya matatizo kwani desturi zetu na utamaduni wetu ni tofauti na nyinyi.

Ondoeni majeshi yenu yaliyojaa huku , muone kama tutawalaumu kwa chochote
Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ni wa kwenu. Atoe amri tu majeshi unayoyasema yataondoka kwenu. Rais wenu alikuwa waziri wa ulinzi miaka mingi tu kwa hiyo bila shaka anajua kila kitu kuhusu majeshi. Ashirikiane tu na Rais wa JMT kuondoa hayo majeshi.

Vizuri zaidi, waanzishe mchakato wa kujitoa katika Muungano. Wafanye referendum ya hatma ya Muungano pande zote mbili za Muungano halafu uone nani atasema uvunjwe. Machogo hatuna habari na Zanziba na Muungano ukivunjika hautaleta tofauti yeyote katika maisha yetu. Nyinyi ambao mnaishi kwetu bila shida yeyote, makuja mtakavyo, ndugu zenu wamejaa Sharif Shamba, mnatumia hospitali zetu, mnatumia shule zetu mpaka vyuo vikuu, mnamiliki mashamba, mnaajiriwa sehemu yeyote mnayotaka, mnagombea uchaguzi ngazi yeyote mnayotaka, mnalindwa na wanajeshi wetu, mnapata umeme wa dezo, mnaolewa, tunawalisha, hizo balozi mnazopigia makelele ni sisi tunaozilipia n.k.

Vunjeni Muungano mtuache tupumue maana mmemukuwa kama viroboto. Nafasi ndio hii. Nendeni muone kama tutalia. Kwa taarifa yako machogo wengi hawajui hata Unguja iko wapi! Msitusumbue. Hamlipi kitu lakini mnataka mpendelewe kila mahali. Watu kama nyinyi ndio mnao waharibia wenzenu tunaoishi nao vizuri tu Kigamboni.

Huyo unaemuita Baba yetu ndie aliyempa hifadhi Sultani wenu wakati mnataka kumchinja. Ndie aliyewahifadhi wakina Babu wakati mnataka kuwanyonga. Alifanya hivyo baada ya kuona mlivyowafanya wakina Mdungi. Ndie aliyekataa kugeuza nchi yenu kuwa mkoa. Lakini sishangai maana watu kama nyie hampendeki. Kama wenyewe kwa wenyewe hampendani, itakuwa sisi machogo!

Amandla...
 
Ulichojibu kisome tena labda hujaelewa au jaziba ilikuzidi baadaye soma niliandika nini
Kumbe ni dada wa kipemba! Ndio maana haueleweki maana kiswahili chenu ni tofauti na chetu. Hamna haja ya kuendeleza mabishano maana hatutaweza kuelewana. Sisi kwetu tunasema jazba nyie mnasema jaziba. Hatuwezi kuelewana.

Amandla.
 
This type of gross ignorance is exactly what I am talking about.

Yani nyie mmeleta matatizo ya familia yenu hapa JF, mmefiwa na ndugu yenu.
Tena kwa vijembe vya inda visivyo staha kuhusu Muungano.

Hili si tatizo la kitaifa.

Hajafa balozi, hajafa mfanyakazi wa serikali. Hili ni tatizo la kifamilia.

Mmelileta hapa tatizo la kifamilia kulialia.

Haya, mimi nawajibu. Nawaambia matatizo ya kifamilia huku watu tunaotumia akili tunayatatua kifamilia.

Hatusubiri serikali.

Halafu wewe na nduguzo mlioleta matatizo yenu ya kifamilia hapa JF, mnashindwa kumzika ndugu yenu mpaka mnaomba msaada wa serikali, jambo la aibu kabisa, mnalialia msaidiwe na serikali, unanilaumu mimi kwa kuleta mambo ya familia yangu hapa?

Nani kaanza kuleta mambo ya familia kwenye uzi huu?

Unaelewa nimeeleza mambo ya familia yangu kwa sababu niliulizwa swali kwamba nikipatwa na tatizo kama hili kwa mtu wa familia yangu nitafanyaje? Ulitaka nisijibu swali nililoulizwa kuhusu familia yangu?

Yani mnaniuliza swali, halafu nikilijibu mnanisema vibaya kwa kujibu swali ambalo mmeniuliza wenyewe?

What kind of sordid rubbish is that?

Wewe ngumbaru jua kwamba serikali ya Tanzania haina bajeti ya kukusafirishieni maiti za ndugu zenu kutoka nje.

Jipangeni kusafirisha maiti za ndugu zenu wenyewe.

Ama sivyo zitazikwa na serikali za nje na watu wasiowajua.

Au hata maiti za ndugu zenu zinaweza kutupwa ziliwe na ndege.

Acheni ujinga wa kutegemea balozi ziwasaidie gharama, wakati balozi zenyewe hohehahe.
Umejibu kipumbavu Sana, na majibu yako yatakuja kuigharimu nchi au ajira za hiyo balozi sijui Ni ndugu yako babako mamako!

Niachane na ushenzi wako, hapa ubalozi lazima ubebe lawama, huyu Ni mtanzania alisafiri kihalali, kapata shida kihalali hakuwa kabeba ngada katika zake ugenini, kapata shida alipaswa kusaidiwa na ubalozi, huku vijijini tunasafiri giza likiingia na haina ndugu unauliza kwa mwenyekiti wa Kijiji unapewa pa kulala unachinjiwa na kuku, huo ubalozi Ni nyumba ya watawa mgeni haruhusiwi? Mbona tunaenda mini ya watu giza likiingia unaingia msikitini unalala unaamshwa na adhana. Ipo misikiti jioni ukifika wadosi wanaleta ubwabwa mnajisitiri tumbo, hapa balozi wakutimua haraka kwa mustakabali mapana ya muungano
 
Umejibu kipumbavu Sana, na majibu yako yatakuja kuigharimu nchi au ajira za hiyo balozi sijui Ni ndugu yako babako mamako!

Niachane na ushenzi wako, hapa ubalozi lazima ubebe lawama, huyu Ni mtanzania alisafiri kihalali, kapata shida kihalali hakuwa kabeba ngada katika zake ugenini, kapata shida alipaswa kusaidiwa na ubalozi, huku vijijini tunasafiri giza likiingia na haina ndugu unauliza kwa mwenyekiti wa Kijiji unapewa pa kulala unachinjiwa na kuku, huo ubalozi Ni nyumba ya watawa mgeni haruhusiwi? Mbona tunaenda mini ya watu giza likiingia unaingia msikitini unalala unaamshwa na adhana. Ipo misikiti jioni ukifika wadosi wanaleta ubwabwa mnajisitiri tumbo, hapa balozi wakutimua haraka kwa mustakabali mapana ya muungano
Kwani wapi nimeandika hakupaswa kusaidiwa na ubalozi?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Au wewe ni kati ya wale wajinga ambao wana tatizo la kusoma?
 
Imenikumbusha wakati wa mwinyi aliamrisha watoto wa ubalozi warudi musoma tanzania watoto Hawa walikataa kulala bweni la jumla walikataa kula nguna wakawa wanaletewa mikate, kumbe na tabia za babazao ziko hivyohivyo qanajiona niggers
 
Back
Top Bottom