Bashite og
Senior Member
- Mar 15, 2017
- 176
- 40
sub
subilini hapo hapo na akili zenuKwa hakika nimeelewa kwanini Mungu aliruhusu Lisu apigwe risasi kinyama vile
Hakika Lisu hatakuwa yule waliye mzoea na Chadema hakitakuwa ile ya kulalamika au sijui tunalaani, itakuwa Chadema ya vitendo na sio maneno