King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Habari zenu wana jamvi,
kesho ni siku ya kuwaombea na kisha kuwazika mashujaa waliouwa wakati wa maandamano ya Amani na mkutano wa Amani ulioandaliwa na Chadema tar. 5/1/11, ni msiba mzito sana kwa wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla wale wapenda haki na amani.
katika muv ya Sarafina askari wa kikaburu waliwaua vijana wapigania uhuru na kujeruhi wengi, baada ya siku kadhaa walifanya ibada na kuwazika wenzao. Hakika ni msiba wa kihistoria ambao kwa hakika ulipendeza sana, huku askari wa kikaburu wakiangalia kwa mbali na wanaharakati hawakusita kuwaambia ukweli hata hapo msibani " u may kill all of ths young people but u cant kill their ideas and changes ar comming, freedom is coming tommorrow" alisikika mtu mmoja.
sasa yaliyotokea kwa Sarafina kesho ndio yatatkea kesho Arusha, kwa hakika ni msiba wa majonzi sana lakini ni wa kihistoria na kukumbukwa sana.
"U MAY KILL PEOPLE BUT U MY NOT KILL THEIR IDEAS AND SPIRIT OF CHANGES"
kesho ni siku ya kuwaombea na kisha kuwazika mashujaa waliouwa wakati wa maandamano ya Amani na mkutano wa Amani ulioandaliwa na Chadema tar. 5/1/11, ni msiba mzito sana kwa wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla wale wapenda haki na amani.
katika muv ya Sarafina askari wa kikaburu waliwaua vijana wapigania uhuru na kujeruhi wengi, baada ya siku kadhaa walifanya ibada na kuwazika wenzao. Hakika ni msiba wa kihistoria ambao kwa hakika ulipendeza sana, huku askari wa kikaburu wakiangalia kwa mbali na wanaharakati hawakusita kuwaambia ukweli hata hapo msibani " u may kill all of ths young people but u cant kill their ideas and changes ar comming, freedom is coming tommorrow" alisikika mtu mmoja.
sasa yaliyotokea kwa Sarafina kesho ndio yatatkea kesho Arusha, kwa hakika ni msiba wa majonzi sana lakini ni wa kihistoria na kukumbukwa sana.
"U MAY KILL PEOPLE BUT U MY NOT KILL THEIR IDEAS AND SPIRIT OF CHANGES"