Tukio la jana la kupatwa kwa mwezi ni ushahidi mwingine kuwa Mungu yupo?

Alafu kaka kuna Kitabu kimoja uliwahitupia humu kwenye uzi mmoja hivi..Muandishi wake nakumbuka jina moja tu la Harvey..kinahusu mambo ya Kuinvest tafadhali naomba kama nacho una link namna ya kukipata...
Kitabu cha business hicho. Kinaitwa "How To Swim With The Sharks Without Being Eaten Alive" cha Harvey Mackay.

Vitabu vya mshua hivyo nilikuwa naviparamia kabla ya muda nikiwa about 13-14. Lakini kuna masomo fulani nilinifunza hususan kuhusu the American life na business culture ( which is now becoming global) naona mpaka leo masomo yale yamenisaidia sana.

Pamoja na kujenga uelewa wa lugha na maisha ya Marekani.

Jamaa aliandika kwa style accessible sana kiasi kwamba as a13-14 year old nilikielewa kwa kiasi kikubwa sana.
 
Last edited:
Kweli kaka...nimekuwa napatashida sana kujadili mada mbalimbali na watu wasiosoma vitabu sababu upeo wetu katika baadhi ya mambo unakuwa mdogo sana...unaweza ukawaeleza kitu watu wanabaki mdomo wazi na kibaya zaidi wasipokee kama ni taarifa mpya kwao unazowapa zenye manufaa na kinyume chake wanaendelea kubisha tuu! Kusema ukweli tangu nilipoanza tabia ya kuchungulichungulia vitabu nimejiona mtu aliebadilika sana kimtazamo na uchambuzi wa mambo.
Nakuelewa.

I mean sisemi kwamba sisi ndio tutakuwa sawa muda wote, pengine hata sisi tutakosea.

Ila, hata tutakapokosea, kujadiliana na mtu asiyebisha logically with details ni tabu sana. Huwezi kujua wapi umekosea na huyu anayenipinga ananipinga kwa logic gani zaidi ya ujinga tu.

Unaweza ku conclude huyu mjinga tu ndiyo maana anapinga hata kama wewe ndiye umekosea.
 
Last edited:
Hebu tuonyeshe Akili zako Kama kweli unazo hapo.
"Kuonyesha" maana yake nini?

Na kwa mfano nikisema siwezi "kukuonyesha" kwamba ninazo akili, hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Unaelewa kwamba nikikwambia huna shilingi milioni moja, ukaniambia kwamba siwezi kukuonesha kwamba nina shilingi moja, halafu ikawa kweli siwezi kukuonesha kwamba nina hata shilingi moja, tukirudi kwenye swali la awali kuhusu wewe kuwa na shilingi milioni moja, hata nikiwa sina shilingi moja, wewe unakuwa bado hujathibitisha kwamba una shilingi milioni moja? Kwamba kutokuwa na shilingi hata moja kwangu mimi si uthibitisho kwamba wewe una shilingi milioni moja?

Kwamba ili uthibitishe kwamba una shilingi milioni moja, inabidi uthibitishe kwamba una shilingi milioni moja.

Ukinitupia mpira mimi kuthibitisha kwamba nina shilingi moja, nikashindwa, bado hujathibitisha kwamba una shilingi milioni moja.

Ukinitupia mpira mimi kuthibitisha kwamba nina akili, nikashindwa, bado hujathibitisha Mungu yupo.

Kitu pekee kitakachothibitisha Mungu yupo ni uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Mimi kushindwa kuthibitisha kwamba nina akili ni mimi kushindwa kuthibitisha kwamba nina akili, si uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Unaelewa hilo?

Unaweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo?
 
Cha kwanza "Sapiens: A Brief History of Humankind" kipo kama PDF online hapa

Cha pili "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow" kipo kama PDF online hapa

Nimevisoma vyote. Kuna sababu muhimu mpaka Obama anavifagilia hivi vitabu.

Watu wangekuwa wanasoma na tunajadili kwa hoja, ingependeza zaidi.

Lakini utajadiliana nini kuhusu hivi vitabu na mtu ambaye - si wote wako hivi, lakini ni wengi tu- siyo tu hajui hata Kiingereza, bali pia ana conspiracy theories kibao na kukataa habari za kusoma vitabu kabisa?
Those who are destined to perish are the ones who will believe these fabricated narratives
 
Wewe tengeneza mapito yako yamfaayo Mungu kwani hatujui siku wala saa
 
"Kuonyesha" maana yake nini?

Na kwa mfano nikisema siwezi "kukuonyesha" kwamba ninazo akili, hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Unaelewa kwamba nikikwambia huna shilingi milioni moja, ukaniambia kwamba siwezi kukuonesha kwamba nina shilingi moja, halafu ikawa kweli siwezi kukuonesha kwamba nina hata shilingi moja, tukirudi kwenye swali la awali kuhusu wewe kuwa na shilingi milioni moja, hata nikiwa sina shilingi moja, wewe unakuwa bado hujathibitisha kwamba una shilingi milioni moja? Kwamba kutokuwa na shilingi hata moja kwangu mimi si uthibitisho kwamba wewe una shilingi milioni moja?

Kwamba ili uthibitishe kwamba una shilingi milioni moja, inabidi uthibitishe kwamba una shilingi milioni moja.

Ukinitupia mpira mimi kuthibitisha kwamba nina shilingi moja, nikashindwa, bado hujathibitisha kwamba una shilingi milioni moja.

Ukinitupia mpira mimi kuthibitisha kwamba nina akili, nikashindwa, bado hujathibitisha Mungu yupo.

Kitu pekee kitakachothibitisha Mungu yupo ni uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Mimi kushindwa kuthibitisha kwamba nina akili ni mimi kushindwa kuthibitisha kwamba nina akili, si uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Unaelewa hilo?

Unaweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo?
haahaa equivocation...
 
haahaa equivocation...
Sasa mtu anashindwa kuelewa kwamba anatumia faulty logic hapo tu.

Ataweza kujadili hoja za Anselm, Aquinas, Russell, Dawkins etc?

Akiiona classic argument ataijua hii classic argument?

Ataanzia wapi kuijua hivyo ikiwa logic ya kujibizana vizuri tu hana?

Unamwambia mtu athibitishe kwamba Mungu yupo, hawezi, anakwambia wewe uthibitishe una akili .

Hajui kwamba hata mimi kushindwa kuthibitisha nina akili ni uthibitisho Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, tungekuwa na majibu ya maswali yote tunayoyajua.
 
Back
Top Bottom