Junior Clinton Mr.
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 1,075
- 1,423
Wakuu habari za saa hizi,
Kwa kifupi ni kwamba Leo katika kupitia pitia maandiko nikajikuta nafunua ukurasa huu Wa Biblia nikabaki nashangaa.
Nafikiri wengi wetu tuliona lile tukio la Jana la "kupatwa kwa mwezi" ambalo lilitafsiriwa kama Mwezi Wa damu.
Je haya maandiko yanaashiria Nini katika kipindi hiki? Soma mstari Wa 31.
Kwa kifupi ni kwamba Leo katika kupitia pitia maandiko nikajikuta nafunua ukurasa huu Wa Biblia nikabaki nashangaa.
Nafikiri wengi wetu tuliona lile tukio la Jana la "kupatwa kwa mwezi" ambalo lilitafsiriwa kama Mwezi Wa damu.
Je haya maandiko yanaashiria Nini katika kipindi hiki? Soma mstari Wa 31.