mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 663
Rudi nyuma kwenye sakata kina zombe arusha"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk..