Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Angekuwa gaidi angeuwa watu wote barabarani pale. Mitaani inaelezwa kuwa amedhulmiwa madini yake
Mgodi wake kapewa mama wa kambo aka minido ili atengeneze vikuku na shanga za dhahabu
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kidogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Mnaupenda sana ugaidi nyinyi! Au kwa sababu mnawaona Watanzania wote ni ng'ombe siyo!! Sasa kwa taarifa yenu kuna wachache kama huyo Hamza, yule Tajiri wa Mabasi ya Zakaria kule Tarime, nk ni vichwa ngumu!

Unamzingua, na yeye anakuzingua! Halafu mwisho wa siku mnakuja kulia lia hapa eti ni GAIDI!!
 
Gaidi hilo limejificha kwenye mgodi
Kinachofanyika sasa ni kutwist ajenda ili jamii iwe na huruma na familia ya gaidi aliyeuwawa
Gaidi wa ccm kaua mapolisi vs mahaini wa ccm ya kum RIP MAGUFULI
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
Sura ya kisomali, kumbe nao moyo wake ulikuwa wa kisomali. Dam ya kisomali bunduki na risasi ni kama manati na jiwe. Somalia risasi wanachezea mdako na bao.
 
Kwa hiyo ubalozi wa ufaransa alikoenda kushamblia walinzi wa huo ubalozi ndio wafaransa waliomdhulumu? kwa nini ali tarhet pale pale opposite na uliposhambuliwa ubalozi wa marekani?

ubalozi wa ufaransa walimkosea nini hadi aue walinzi wa ubalozi wao kwenye ofisi yao?

Eneo la ubalozi ni nchi nyingine alichofanya ni kushambulia nchi ya ufaransa
Kamuulize Sirro.
 
Moderator juzi niliandika uzi wangu wa TOZO ZIMEPUNGUZWA ili kuwapa wanaccm, wapenzi wa ccm na mashabiki wa ccm fundisho nashangaa mkaufuta.

Haya sasa na kwa hili wafia chama cha ccm watoe fundisho.

Na tafadhali mrudishe uzi wangu wafia ccm wale fundisho wajirekebishe, sikunyingine wasifanye makosa kwenye box la kura.
 
Dhuluma, dhuluma dhuluma kila mahali. Rais dhuluma kwenye miamala/tozo, Mwigulu dhuluma kwenye tozo/miamala, Majaji/mahakimu dhuluma kwenye hukumu, dhuluma kupokea maagizo toka juu, Ndungulile dhuluma kwenye vifurushi, polisi dhuluma kwenye madini, wananchi. Tume ya uchaguzi dhuluma kwenye kura, DED dhuluma kwenye mabati, tenda, kura, viwanja vy wananchi, serikali za mitaa/vitongoji dhuluma kwenye rushwa za usafi etc etc kila mahali dhulma, majibu ndiyo hayo na yanakuja mengi siku za usoni
Hata wewe unaweza kudhulumu
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
Halafu unakta rais katoa pole kwa polisi kama vile polisi walionenewa kumbe wao ndiyo master mind wa kila kitu na ilikuwa lazima wamuue ili kuficha ushahidi. Hahaha, enzi za Zombe hivi who was the president?
 
Kuna taratibu zake za kuja kuuza dhahabu kwenye soko la Dar.... mfanya biashara ya dhahabu Tanzania sio yeye peke yake wako mamia kwa maelfu na kila siku wanauza na kununua dhahabu.... polisi waliingiaje kwenye biashara yake.....why polisi na yeye.?

Nafikiri bado hujafuguka kimawazo biahara ya dhahabu inafanyika kimagendo pia huko ndio watu huiziana huku umeshika silaha kunakugeukiana mara moja
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kidogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Unagongwa we! Dini ipi inayosema huo ujinga unaozungumzia
 
"amedhurumiwa dhahabu zake na polisi"... hapa tuwe makini kidogo, dhahabu zilifikaje kwenye mikono ya polisi ilihali kuna masoko ya dhahabu na taratibu zake kama leseni ( brokers licence) na ulipaji wa kodi nk.... hivi ni huyu tu anayefanya biashara ya dhahabu Tanzania?.... migodi ya dhahabu tunaambiwa iko chunya, chunya pale na Mbeya kuna masoko ya serikali, ilifikaje Dar es salaam hiyo dhahabu? mbona hakudhurumiwa na polisi Chunya, Mbeya, Iringa, Moro ila imetokea Dar es salaam?...

sitetei polisi wala huyu jamaa, najaribu kuwa na fikra huru kuliko kurusha lawama...
Kwani hayo madini yanapouzwa kwenye hayo masoko wanunuzi hawaruhusiwi kuondoka nayo bali yanaishia hapo hapo? Ndege za kimataifa zinatua na kuruka kuanzia kwenye masoko ya madini?
 
Nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bob Marley unaitwa Johnny was! Yes Johnny was a good man so is Hamza ! Wore wawili wameuwawa na bullets by the system! Bob aliimba, Woman hold her hands and cry as her son has been shot down in the street and die, just because of the system! She cry!! I know Johnny was a good man!!! Just like Hamza was!! Nna wajua polisi vizuri Sana, mnakumbuka kesi ya Zombe? Ndo haya Sasa! Hamza was a good Man!!
 
Polisi ni mtu anaepaswa kuwa msafi asiye na doa. Ni ngumu sana polisi mwenye mawaa kutenda haki kwa raia.
Kila kazi inahitaji watu safi. Hakuna kazi inayoyakubali majambazi. Ukweli ni kuwa katika kila kazi kuna watu wasafi na wenye matatizo na si polisi tu!
 
Sura ya kisomali, kumbe nao moyo wake ulikuwa wa kisomali. Dam ya kisomali bunduki na risasi ni kama manati na jiwe. Somalia risasi wanachezea mdako na bao.
Sura ya kichama, kumbe nao moyo wao ni wa kichama. Damu ya kichama kutokutumikia wananchi,kupora mali za wananchi na kunyanyasa wananchi ni kama manati na jiwe. Hawa polisi-CCM wanalinda maslahi ya chama kama mdako na bao,hawana habari kabisa na maslahi ya wananchi.Ni vyema na haki waendelee kuuawa.

Are we?
 
Biblia inaandika :

"HAKI HIINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE.

EZEKIEL 3

16 Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la Bwana likanijia, kusema,

17 Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.

18 Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

19 Lakini ukimwonya mtu mbaya, wala yeye hauachi ubaya wake, wala njia yake mbaya, atakufa katika uovu wake; bali wewe umejiokoa roho yako.

20 Tena mtu mwenye haki aiachapo haki yake, na kutenda uovu, nami nikiweka kikwazo mbele yake, atakufa; kwa sababu hukumwonya, atakufa katika uovu wake, wala matendo yake ya haki aliyoyatenda hayatakumbukwa; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

21 Bali ukimwonya mwenye haki, kwamba yule mwenye haki asitende dhambi, tena ikiwa yeye hatendi dhambi, hakika ataishi, kwa sababu alikubali kuonywa; nawe umejiokoa roho yako."

Vyombo vyetu vya kutoa haki vimeonywa mara nyingi sana hapa nchini ili kuacha rushwa na uonezi.

Sasa dalili zisizo nzuri katika suala la kijana Hamza, kada wa CCM, linaturudisha katika Neno la Mungu juu ya Taifa kwa ujumla.

Polisi wanatakiwa kama Jeshi au askari mmoja mmoja KUTENDA HAKI.

Zulumat ni dalili ya indiscipline katika taasisi hiyo ya usalama na matokeo tunaanza kuysona- mtu kujichukulia sheria mkononi.

Tutende haki kwa heshima ya Taifa.
 
Back
Top Bottom