Huyo siyo muhaya, hakuna muhaya wa hivyo.There is something went wrong ! Hamza is not a criminal but is a victim.
Hicho kichwa cha habari sio kiingereza.. Grammar fake, unaaibisha wahaya. Uwe unaandika kiswahili tu.
She cry!Nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bob Marley unaitwa Johnny was! Yes Johnny was a good man so is Hamza ! Wore wawili wameuwawa na bullets by the system! Bob aliimba, Woman hold her hands and cry as her son has been shot down in the street and die, just because of the system! She cry!! I know Johnny was a good man!!! Just like Hamza was!! Nna wajua polisi vizuri Sana, mnakumbuka kesi ya Zombe? Ndo haya Sasa! Hamza was a good Man!!
Mkuu utakuwa unatania, yaani watu wasubiri taarifa ya polisi kama ile ishu MoTusubiri taarifa rasmi ya polisi.
Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
Unatakiwa uwahi kituo cha polisi karibu yako kutoa ushahidi .tusaidie tafadhali.Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kidogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.