Tukio La Ajabu

Kuna maswali mazuri tu humo ndani.... Ama majibu kwa asilimia 98 wameshatoa wao wenyewe, hapa wanatupa taarifa tu.

Nakumbuka kuna issue ya Ngorongoro humu JF inafanana na hii...
 
Dont mention about severe, hili ni tatizo. Hizi tuhuma ni nzito zinahitaji serikali isizipuuzie. Kazi kwenu sirikali na wana JF kwani mnamchango mkubwa katika kutoa msukumo wa suala hili.
 
shy

....thanks for the inf...........wahusika inabidi wawajibike tu lakini ndi ohivyo mambo haya huwa yanafunikwa chini ya uvungu.............JF tutaendelea kuyatoa uvunguni

Kuna issue moja pia kama hiyo.....ilihusu Dolphins kibao walikufa na kupatikana pembezoni mwa ufukwe wetu......wakasema wanachunguza......well we never...............oooh no at least i never saw hatima ya uchunguzi kuhusu nini kiliwafika wale Dolphins
 
Hilo la Dolphins linahusu ujio wa Bush...


....mkuu kibunango,

je ndio anakuja ku-settle the bill......kutokana na nuclear tests alizofanya au nimekuelewa visivyo?

hii department ya maliasili inahitaji re-structuring ya hali ya juu...........au ndio sababu ya kumpa Wizara mpya Magufuli??...im trying to connect the dots

Sasa hii tena tarifa ya mbwa kufa kiajabu ajabu na yenyewe..............sijui ndio wataanza ku-fabricate sababu baada ya JF kuifukua hiyo issue ya mbwa!!!........anyway tuendelee kuwashupalia hawa waserikali ili wawajibike
 
....mkuu kibunango,

je ndio anakuja ku-settle the bill......kutokana na nuclear tests alizofanya au nimekuelewa visivyo?

hii department ya maliasili inahitaji re-structuring ya hali ya juu...........au ndio sababu ya kumpa Wizara mpya Magufuli??...im trying to connect the dots
Nilitegemea kuwa Bush akija Bongo pamoja na mambo mengine atatutaka radhi kwa kusababisha vifo vya Dolphins 400. Ingawa hadi leo, sio SMZ wala Chuo Kikuu cha Dar kutoa taarifa za uchunguzi wao kama walivyodai yapata miaka miwili sasa. Wanasayansi wengi wamehusisha vifo hivyo na matumizi ya kijeshi ya Sonar.

Huko kwao US na hasa katika jimbo la Califonia serikali ya Bush imeburuzwa mahakamani kutokana na mazoezi ya kijeshi ambayo hutumia Sonar.

Wamarekani wao wanakili kabisa kuhusika na vifo hivyo...
Some scientists surmise that loud bursts of sonar, which can be heard for miles in the water, may disorient or scare marine mammals, causing them to surface too quickly and suffer the equivalent of what divers call the bends - when sudden decompression forms nitrogen bubbles in tissue.

A U.S. Navy task force patrols the coast of East Africa as part of counterterrorism operations. A Navy official was not immediately available for comment, but the service rarely speaks about the location of submarines at sea.

Hapa wanaweka wazi kuhusika kwao...
The humpbacks, bottlenose and spinner dolphins are the most common species in Zanzibar's coastal waters.

The most conclusive link between the use of military sonar and injury to marine mammals was observed from the stranding of whales in 2000 in the Bahamas. The U.S. Navy later acknowledged that sonar likely contributed to the stranding of the extremely shy species.

Zaidi cheki hapa
 
Back
Top Bottom