Tukio kubwa la kijiografia latokea Arusha: Baada ya muda mrefu sana mlima Meru waonekana ukiwa na theluji

chongchung

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
12,047
34,869
Hili ni tukio kubwa lakini sioni likipewa attention na media, ni baada ya miaka mingi Sana kupita mlima Meru mkoani Arusha umeonekana kuwa na theluji nyingi kama Ile ya mlima kilimanjaro kwa kipindi cha siku mbili kuanzia jana 2nd January 2018 hata leo 3rd January bad theluji inaonekana tena kwa wingi zaidi.

Mlima Meru ni Mlima wa pili kwa urefu Tanzania na watano barani Africa

IMG_20180103_174507.JPG
IMG_20180103_174423.JPG
IMG_20180103_174400.JPG


Mlima kilimanjaro nao umeonekana na kuongozeka kwa theluji mara dufu
IMG_20180103_174450.JPG



 
Labda hali ya uharibifu wa mazingira umepungua sana ktk kipindi cha karibuni, hivyo hali ya hewa imerudi ktk asili... Labda kuna juhudi za makusudi zilifanyika, juhudi zitiliwe mkazo zaidi ktk kuendelea kutunza mazingira kwa maslahi mapana zaidi ya Nchi yetu...
 
Hapana h
Sidhani kama ni miaka 'Mingi sana', nakumbuka kila msimu wa baridi kali Arusha mlima Meru asubuhi ilikua ni lazima Uone kilemba cha barafu hapo juu, mimi binafsi mara ya mwisho kushuhudia hali hiyo ilikua ni 2009
Hiyo ni lava
 
Hili ni tukio kubwa lakini sioni likipewa attention na media, ni baada ya miaka mingi Sana kupita mlima Meru mkoani Arusha umeonekana kuwa na theluji nyingi kama Ile ya mlima kilimanjaro kwa kipindi cha siku mbili kuanzia jana 2nd January 2018 hata leo 3rd January bad theluji inaonekana tena kwa wingi zaidi.

Mlima Meru ni Mlima wa pili kwa urefu Tanzania na watano barani Africa

View attachment 667510View attachment 667511View attachment 667512

Mlima kilimanjaro nao umeonekana na kuongozeka kwa theluji mara dufu View attachment 667515



Mafanikio ya awamu ya tano
 
Back
Top Bottom