Patrick Elias
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 332
- 108
Watu wanalalamika na kumpa rip mabina tu wakati kwenye tukio hilohilo kuna kijana mdogo kabisa kauwawa na huyohuyo mabina. Cha kujiuliza ina maana kifo cha muuaji mabina kimewauma sana kiasi kwamba mkamsahau huyu kijana mdogo aliyeuwawa bila hatia kwa mkono wa huyo kipenzi chenu mabina? RIP innocent boy