Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Majinni maovu hayo yanacheza na akili za watu.
Sitaki kuibeza hii habari... Inawezekan ikawa na ukweli au uhalisia fulani... Mara nyingi mimi binafsi nimekuwa na fikra hizo.. kwamba mtu akifa hafi completely, bali anaenda kuzaliwa mwingine the same mahala pengine.... Na hili linanijia mara nyingi kwani kuna nyakati nafanya kitu flani halafu hapo hapo fikra zinaniambia kwamba nilishafanya kitu kama hicho mahala flani na the same way.. So nna wasi wasi na maisha yetu binadamu kwamba ni recycling..
Majinni maovu hayo yanacheza na akili za watu.
Majinni maovu hayo yanacheza na akili za watu.
Yeah...Kwani kuna majini mazuri!???