Majinni maovu hayo yanacheza na akili za watu.
Nakuunga mkono, hayo ni mapepo tu. Wapo watu wengi wenye maroho hayo ambao huweza kwa usahihi kabisa wakaelezea maisha ya utotoni ya mtu fulani.
Pia, waganga wa maruhani (majini yajiitayo Sharif) wanaweza elezea historia ya kale ya mtu fulani.
Huyo mtoto ana mapepo ya utambuzi. Mapepo aina hii yamejaa kwa wajiitao eti ni mitume na manabii.
Maandiko yanasema "zichunguzeni hizo roho".