STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Nilisimama mbele ya mademu wakali kumbe zipu iko wazi na boksa wenyewe ni zile za vifungo kumbe mshebeke uko njee unapata Oxygen alaf mademu wanaoneshana, nilikaa week hme siendi shule
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha hapo juu katika harakati za kupata elimu kuna kukutana na watu wengi sana wakiwemo watoto watukutu na wakati mwingine kujifunza tabia mbaya!! tililika hapa ni kisa gani hautakisahau?
Pole sana Bangi haifaiDuuuh asee kuna tukio moja ilo nipo kidato nilikuwa na washkaji zangu wanne tulikuwa na ki gang chetu tulikiita haki elimu kama unavyojua tulikuwa haki elimu kweli, namaanisha tulikuwa darasani tunafaulu vzri,na tulikuwa bangi tunaivuta kweli ssa tukio nisilolisahau ni hili
Siku hyo nyumban kulikuwa na birthday ya brow nyumban mida kama ya saa 10 jion, bi mkubwa akanambia we nenda shule ila uwah kurud ili nisikose misosi,Kama unavyojua haki elimu sijawah kuipinga shule, kweli nikaenda shule ila moyoni nikasema huo msosi utanikoma niki uvutia bangi ndo nitakula vizur na ntaula kwa wingi nikaingia asubuhi,kufika mida wa mapumziko sijala kutegemea nikirud nyumban ntakula chakula kingi zaidi tena ni kizur kuliko cha shule, pesa yote ya kula nikaenda kununua bangi, kweli nilivyotoka mapumziko nikanunua puri langu la elfu 2 nikamoka lile puri mpaka nikabakiza vi stock viwili hapo ndo nikakumbuka kurud darasan, kufka class nikasinzia had mida ya kutoka mana nilikuwa high, kweli mida ya kutoka gang langu la haki elimu likanishtua tukapitia maskan tuka nyonga kadhaa nikitegemea tutaondoka mapema, daaah bhas hilo ndo likawa kosa nikanyonga vistock tuwili nikajikuta nimesinzia hadi mishale ya saa moja na nusu nipo maskan kwa mwana nimembonji duuh njaa ilikuwa inaniuma, nikapiga moyo konde nikasema kwa kuwa nilienda shule na home wanajua lazma wataniwekea msosi,kweli kufika om naulizia msosi wangu bi mkubwa ananiambia kuna ngeni kaja nikaona wwe umechelewa kurud nikampa chakula chako ila dada yako anasonga ugali mtakula pamoja daaah kuangalia sahan alokula mgeni pemben nakuta chupa ya soda mifupa ya kuku maganda ya ndizi alafu ulikuwa wali wa pilau roho iliniuma zaidi pembeni nakuta vipunje punje vya keki daaah nilishindwa kujua nimlaumu nani🤠😭😭😭😭😭
Asante mdau kwakuweka mambo yaliyotokea, nimesikitika sana juu ya mwenzio aliyefariki dah Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.1. Kipindi niko primary enzi za mwalimu shule wetu ilikuwa na michungwa na michenza kibao ingawa ni mjini (siku hizi hata ukipanda ua halioti mijitu ilvyo na dhambi). Sasa kuna siku tulikuwa na watoto wenzangu tukahamua muda wa breki kwenda kuiba machungwa, sasa ile tumeingia kwa kujificha shambani tukakutana na dada mmoja alikuwa darasa la chini amejificha anakata gogo, aisee utoto acha uitwe utoto yaani tulisahau issue ya machungwa tunamtoa nduki kama mwizi ingawa alituzidi kukata mitaa tukashindwa kumkamata. Mpaka leo uwa najiuliza kama tungemkamata tungemchukulia hatua gani zaidi ya kumchoresha tu
2. Nyingine wakati tuko darasa la tano tulitoroka shule kipindi cha breki ya saa sita tukaenda kuiba zambarau kwenye mti uliokuwa kwenye shirika moja kubwa nchini. Basi kuna mwenzangu mmoja akapanda mie niko chini naokota zambarau naweka kwenye mfuko. Jamaa juu kule akakutana na bonge la kinyonga uso kwa uso akawa anapiga kelele kinyongaa kinyongaa jamaa alijiachia kufika chini alifikia kichwa akapoteza uhai hivi naona. Ilibidi niweke ule mfuko wa zambarau pembeni yake nikakimbia kurudi darasani nikajikausha huku roho ikinienda mbio. Katika akili yangu nilijua nikigundulika nilikuwa nae naweza kukamatwa na kupelekwa jela na kunyongwa. Nilijiapiza kutomwambia mtu. Baadae ule mwili ulionekana na ikagongwa kengele shule kuelezwa msiba. Nilikuwa na wasiwasi mkubwa sana na sikulala karibia wiki nzima nikikumbuka lile tukio.
Mpaka leo hakuna anayejua kama mie niliona lile tukio na leo ndio mara ya kwanza naliweka hadharani na uwa naliota sana lile tukio mpaka nimefikia umri huu wa mzee kijana
3. Kuna kipindi niko std 6 nilimpenda sana binti mmoja (sasa hivi ni mke wa mjeshi kiongozi fulani mkubwa wa JWTZ). Sasa kumwambia nilikuwa siwezi kabisa na nilichokuwa nafanya akiniangalia namkonyeza au nabenua kope hivi naye anajibu kwa kufanya kama nilivyomfanyia. Issue ilikuwa nzito kwenye kumwambia na nilikuwa nampenda sana toka moyoni. Sasa kuna siku kuna jamaa mmoja akamla halafu wakafumwa vichakani huko na habari inaenea shule nzima. Niliumia moyo kama nimegongewa mke. Nilikuja kumfuata na kumuuliza kwa nini alitembea na yule jamaa wakati anajua nampenda (nilienda kama kumlaumu hivi) kumbe wakati namwambia vile nae alikuwa amevurugwa kisaikolojia na lile tukio na kufumwa, aisee alinitoa mkuku kwa kunirushia maneno makali sana ya maudhi. Toka hapo sikutongoza tena mpaka nafika form three
Asante mdau kwakuweka mambo yaliyotokea, nimesikitika sana juu ya mwenzio aliyefariki dah Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.
AmenAsante mdau kwakuweka mambo yaliyotokea, nimesikitika sana juu ya mwenzio aliyefariki dah Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.
We naye ulikuwa balaaa hakuna muhuri wa ikulu hapo kweli? LOLNiliiba Muhuri wa Shule nikawa naandika Barua za michango nagonga muhuri Nampelekea Mzee Father ,navuta mpunga Natia Mfukoni.
Nilikuja kukamatwa baada ya kuutumia Muhuri ktk karatasi za Kupigia kura ,Maana nilikua Nampango mkakati wa kuwaweka madarakani watu wangu,
Baazi nilifanikiwa kuwaweka madarakani, hekaheka ilikuja ktk kura za Head Boy(HP),ndiko nilipofumwa na siraha zangu za maangamizi mfukoni, kumbe kunajamaa alichora ile Raman ya Mimi kudakwa. Kibaya zaidi nikakutwa na ule muhuri ktk Bag yangu. Taarifa zikafika kwa mzee Father.
Kilichoendelea sitokuja sahau
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mkuu ukitaka muhuri wowote unapatikaWe naye ulikuwa balaaa hakuna muhuri wa ikulu hapo kweli? LOL
Ww ulihujumu uchumiNiliiba Muhuri wa Shule nikawa naandika Barua za michango nagonga muhuri Nampelekea Mzee Father ,navuta mpunga Natia Mfukoni.
Nilikuja kukamatwa baada ya kuutumia Muhuri ktk karatasi za Kupigia kura ,Maana nilikua Nampango mkakati wa kuwaweka madarakani watu wangu,
Baazi nilifanikiwa kuwaweka madarakani, hekaheka ilikuja ktk kura za Head Boy(HP),ndiko nilipofumwa na siraha zangu za maangamizi mfukoni, kumbe kunajamaa alichora ile Raman ya Mimi kudakwa. Kibaya zaidi nikakutwa na ule muhuri ktk Bag yangu. Taarifa zikafika kwa mzee Father.
Kilichoendelea sitokuja sahau
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app