Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

kama wanasayansi miaka ya hivi karibuni wamevumbua kifaa ambacho wanatumia kwenye mikutano ya kimataifa, anaetoa hotuba anaongea kwa lugha yake lakini wasikilizaji katika headphone zao kila mtu anapokea katika lugha yake, hujiulizi endapo binadamu amefanya hili karne ya 21, je si mungu anawataarifu waja wake kwamba bado hamjajua chochote ? kwa sababu yeye alishatumia hiyo teknologia miaka zaidi ya 2000 iliyopita kwa watu wake kueneza neno lake ? kupitia kunena kwa lugha ? tena bila mitambo yoyote ?
Logical non sequitur.
 
Hapo cha ajabu ni kipi mkuu?
Hujaona hajabu ndugu kwa ndugu Mungu aliruhusu kuoana na kutengeneza vizazi halafu baada ya kumekuja dini zikionesha Mungu hapendi ndugu kwa ndugu kuoana. Nani mwanzilishi wa hiyo laana ya ndugu kwa ndugu kuoana?
 
Lazima kila binadamu anaamini uwepo wa Mungu haijalishi Dini wala nini ila kuna jambo labda unahisi ni la kipekee linatokea hapa Duniani au limewahi kutokea hata kwako wewe mwenyewe mpaka limekufanya uamini kweli Mungu yupo.

Kwa mfano mimi kila ninapoona giza linaingia na halafu tena kesho yake kunakucha yaani kunakucha. Hii kwangu ni sababu tosha ya kuamini uwepo wa Mungu, hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kulifanya hili Duniani kote.

Ahsanteni, Asubuhi njema.
Tofauti ya kipato
 
Sawa.

Na mambo mengine akili yangu haiwezikuyathibitisha.Lakini hayapo.

Kwa hiyokushindwa kuthibitisha kitu hakuthibitishi kwamba kipo au hakipo.

Kitu pekee kinachothibitisha kitu kipo ni uthibitisho kwamba kipo.

Kwahiyo, hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Zaidi ya hapo, dhana ya Mungu wako kuwapo inajipinga.

Kwa sababu hayupo.
How can you justify nothing? And yet nothing can barely exist without nothing.
 
Suala la uwepo wa mungu ni la imani na ndiyo maana kuna wenye kuamini na wasioamini,na ndiyo maana vitabu vinaeleza malipo ya wataoamini na wataokataa kuamini. Mpaka hapo utaona ya kuwa si kwamba mungu alikosea au anashindwa kufanya watu wote wakubali mungu na wawe dini moja.

Na swali la pili...mungu alishaweka taratibu zake toka mwanzo huko na ndiyo maana kumekuwa na mitume ambao walikuwa wakiletwa kuwakumbusha watu kila pale watu wanapokuwa wameacha kufuata taratibu ambazo mungu anazitaka.

Kama bado sijaeleweka utaniambia mkuu.
mkuu kama umeona katika maonyesho ya leo sherehe za muungano, wale mbwa wa police wanavyo tumika hasa yule mbwa aliyefundishwa utii anavyo fata mmiliki anavyotaka, na hana hekima ya kujiuliza kwa nini namtii huyu jamaa lakini bado ananifunga mnyororo na baadae ananiweka bandani hanipi uhuru ? je ingekuaje kwa binadamu ambaye mungu amemuumba kwa mfano wake ana uwezo wa kupambanua ? halafu mungu amdhibiti anavyo taka yeye ? hali ingekuaje ?
 
Contradictions kila mahali zinaonyesha huyu Mungu katungwa tu na watu.

Tena watu wasiojua vizuri logic.
Eti wewe unaijua logic vizuri.
Can something exist from no where??
Cause and effect.
Something caused the universe to exist.
 
Suala la uwepo wa mungu ni la imani na ndiyo maana kuna wenye kuamini na wasioamini,na ndiyo maana vitabu vinaeleza malipo ya wataoamini na wataokataa kuamini. Mpaka hapo utaona ya kuwa si kwamba mungu alikosea au anashindwa kufanya watu wote wakubali mungu na wawe dini moja.

Na swali la pili...mungu alishaweka taratibu zake toka mwanzo huko na ndiyo maana kumekuwa na mitume ambao walikuwa wakiletwa kuwakumbusha watu kila pale watu wanapokuwa wameacha kufuata taratibu ambazo mungu anazitaka.

Kama bado sijaeleweka utaniambia mkuu.
Hao mitume ni nani aliyethibitisha kuwa wanayosema wametumwa na Mungu na sio fikra zao? Na mbona kuna hali ya kupingana kwa ujumbe wa Mungu ilihali muongozaji wao ni mmoja? Je Mungu kashindwa kusimamia hao mitume wawe katika kauli moja? Na kwanini kashindwa kusimamia na kulinda kauli zake kwa watu wa enzi hizo halafu awahukumu vizazi vingine vya baadae ambavyo vinatumia simulizi za kale kisha kuamini kwa akili na hisia zao?
 
Suala la uwepo wa mungu ni la imani na ndiyo maana kuna wenye kuamini na wasioamini,na ndiyo maana vitabu vinaeleza malipo ya wataoamini na wataokataa kuamini. Mpaka hapo utaona ya kuwa si kwamba mungu alikosea au anashindwa kufanya watu wote wakubali mungu na wawe dini moja.

Na swali la pili...mungu alishaweka taratibu zake toka mwanzo huko na ndiyo maana kumekuwa na mitume ambao walikuwa wakiletwa kuwakumbusha watu kila pale watu wanapokuwa wameacha kufuata taratibu ambazo mungu anazitaka.

Kama bado sijaeleweka utaniambia mkuu.
God is good God. He isn't a physical being , ,God is spirit.
Imani za kimakanisa na madhehebu, ni misingi ya imani ambayo kwa kiasi fulani inataka kutumia logic/science kuthibitisha uwepo wa Mungu.
Mungu hathibitishiki kwa akili. Au kwa kutumia milango yako ya fahamu.
 
How can you justify nothing? And yet nothing can barely exist without nothing.
What do you mean by "justify" nothing?

What is the significance of "barely exist"? Does that mean Nothing can exist without nothing, but barely?
 
Eti wewe unaijua logic vizuri.
Can something exist from no where??
Cause and effect.
Something caused the universe to exist.
If you go by that logic, God does not exist.

Because God will need something to cause him to exist.

And once he needs something to cause him to exist, he ceases to be God.
 
Inaonekana unapenda sana ku assume bila ushahidi.

Ume assume mimi kijana. Ume assume Mungu yupo.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya, mateso, maumivu etc yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao vyote hivyo vibaya haviwezekani?

Hujajibu swali hili.

Unalikwepa tu.
Swali nimelijibu kitambo sana,tena kwa ufasaha mkubwa.Kuelewa hoja nako ni taaluma,usitumie sana hisia kung'amua mambo tumia akili na moyo.Uliza swali ingine mzee.
 
Swali nimelijibu kitambo sana,tena kwa ufasaha mkubwa.Kuelewa hoja nako ni taaluma,usitumie sana hisia kung'amua mambo tumia akili na moyo.Uliza swali ingine mzee.
Unaweza kuona umejibu kumbe jibu lako ni garbage.

Hebu tupe hapa,umejibu wapi?

Tetea jibu, sio unasema tu umejibu.
 
If you go by that logic, God does not exist.

Because God will need something to cause him to exist.

And once he needs something to cause him to exist, he ceases to be God.
Consequently, you also and all things cease to be.
 
Consequently, you also and all things cease to be.
But since I am, as opposed to I am not, here, and that godhead is supposedly the one who created me, ipso facto, that godhead does not exist.

If all must have a cause, your so called God must have a cause.
But if your so called God has a cause, he is no longer God.

Therefore, if all must have a cause, God does not exist.

Do you see the errors of your ways?
 
Pumzi kiboko ya kiburi cha mwanadamu ukikosa lazima ufe hata uwe billgate
By pumzi haiuzwi
Hilo ni suala tofauti.

Pumzi ni kiboko ya mwanadamu kama mafuta yalivyokuwa kiboko ya gari.

Huwezi kuendesha gari bila mafuta. Huwezi kuishi bila pumzi.

Lakini hilo halimaanishi pumzi inaonyesha Mungu yupo.
 
But since I am, as opposed to I am not, here, and that godhead is supposedly the one who created me, ipso facto, that godhead does not exist.

If all must have a cause, your so called God must have a cause.
But if your so called God has a cause, he is no longer God.

Therefore, if all must have a cause, God does not exist.

Do you see the errors of your ways?
Cause and effect can't go indefinitely.
 
Unaweza kuona umejibu kumbe jibu lako ni garbage.

Hebu tupe hapa,umejibu wapi?

Tetea jibu, sio unasema tu umejibu.
Inaonekana huelewi nilichokijibu mzee au ulitaka nijibu vyongo nini ? Soma jkibu nililo jibu hapo juu mzee.
 
Back
Top Bottom