Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

Kifo kwangu ni uwepo wa Mungu kwani hata uwe na akili vipi hupingani nacho. Hii inaonesha yupo Mungu mwenye uwezo juu ya vyote na wote.
That is a logical non sequitur.

Unajuaje kifo kinahusiana na uwepo wa Mungu na si The Second Law of Thermodynamics tu?

Zaidi ya hapo, kifo kinaonyesha Mungu hayupo, hakionyeshi Mungu yupo.

Kifo kinatenganisha watu wanaopendana. Hatukipendi.

Mungu wenu mnasema ana upendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao kifo kinaweza kutenganisha watu wanaopendana kama alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na kifo kinachotenganisha watu wanaopendana?
 
Kumbe ushaelewa kuwa hakuwa hakilazimika kuumba ulimwengu wa aina fulani ambao ni tofauti na huu,sasa iweje uone huu ulimwengu ameumba kinyume ikiwa hakuwa akitakiwa kuumba aina maalumu ya ulimwengu.

Mpaka hapo umeshindwa kuthibitisha kuwa huu ulimwengu ni kinyume hivyo amejipinga,kwa maana angetakiwa aumbe ulimwengu ambao unaona ungeendana na jinsi alivyoelezwa.
Sijakubali kwamba yupo, utasemaje nimeelewa kwamba hakulazimika?

Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya, mateso, maumivu etc yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao vyote hivyo vibaya haviwezekani?

Hujajibu swali hili.

Unalikwepa tu.
 
Kuna vitu vingine ni vingumu sana kuviamini....... Africa wazee walikuwa wanaamini mambo ya mila na walikuwa wanafanikiwa sana kwenye shughuli zao tofauti na sasa hivi watu wameacha mambo ya mila na wameamua kuamini kile kilicho letwa na mzungu......

Mbona kuna nchi nyingine hawaamini uwepo wa Mungu tunaemfahamu sisi lakini wanafanikiwa kwenye nyanja tofauti tofauti.... Israel ni taifa la Mungu lakini wanatumia biblia tofauti na wanayoitumia africa......
Mbona kuna watu wanaamini mungu na bado wanafanya hayo waliyokuwa wakiyafanya wazee wetu,sijajua unataka kuzungumza nini ?
 
Kijana sisi huwa tunamita shabu kwa wingi tunasema shababu...Kiumri kijana uhesabiwa baada ya kubaleghe na ukomo wa ujana ni mwisho miaka 45.Sasa utajipimia mwenyewe kama umo humo na kama haumo utajua pakujiweka.

Turudi katika nukta muhimu,nyie wenye fikra hizo huwa mnakosa mengi sana katika elimu,kuna elimu ya jinsi ya kuuliza maswali na jinsi ya kujibu maswali,kuna maswali mengine hutakiwi kuuliza mbele ya watu wenye upeo mdogo wa jambo husika lazima utawachanganya na usiulize maswali yua kitoto mbele ya watu werevu.

Swali limekuja halija weka mipaka juu ya idadi ya mambo kwayo mtu anayaamini uwepo wa mambo hayo hayo ni lazima Mola muumba yupo.Yeye bila shaka ametaja miongoni mwa mengi katika hayo..

Kuhusu suala la pumzi mwenye kuamini pumzi na kuwa amepewa na Mola aliyejuu basi lazima anaamini pia aliyempa hiyo pumzi akiitaka anaichukua ndio hicho huitwa KIFO.

Nimejua kama wewe ni kijana kutokana na mahali tunapoizungumza hii mada,kadhalika kutokana na kauli zako una hoja zako unazozitoa.

Kaka najua nyie hamkuwahi kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo si wewe wala wale unaowaza kupitia mawazo yao na wala hamtokuja kuweza kuthibitisha kwamba Mola hayupo.

Chukua ziada,nyie huwa hamna uwezo wa kujibu maswali maraisi achilia mbali magumu kama haya.

Unaonekana hujui nini maana ya JIBU,KUJIBU au MAJIBU...

Inaonekana unapenda sana ku assume bila ushahidi.

Ume assume mimi kijana. Ume assume Mungu yupo.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya, mateso, maumivu etc yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao vyote hivyo vibaya haviwezekani?

Hujajibu swali hili.

Unalikwepa tu.
 
Sijakubali kwamba yupo, utasemaje nimeelewa kwamba hakulazimika?

Hujajibu swali.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya, mateso, maumivu etc yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao vyote hivyo vibaya haviwezekani?

Hujajibu swali hili.

Unalikwepa tu.
Tatizo sio waelewa.

Kumbuka unasema kuwa huu ulimwengu ulivyo ni contradiction kwa mungu ambaye anaelezwa kuwa na upendo na uwezo wote,hivyo mie nilikuwa najadili hiyo uliyoita contradiction na ndiyo msingi wa hilo swali lako,sasa unaposema sijajibu swali lako unaonesha hujui unachokihitaji na ndiyo maana hata umpewe uthibitisho wa kiasi gani hamtoweza kukubali kwa kuwa hamjui hicho mnachokitaka huwezi kukijua kama ndiyo hicho hata ukipewa.
 
Yani unachokisema ni sawa na kusema kuwa kama mungu hayupo sio lazima kila mtu kuwa na uthibitisho wa kutokuwepo kwake,hivyo wengine wanaweza kusema mungu hayupo na wasiwe na uhakika kuwa hayupo(uthibitisho/contradictions) na ikawa sawa tu?
Kama Mungu hayupo, si ajabu watu kuwa na akili tofauti.

Sivajabu kwa wengine kuamini Mungu yupo na wengine wakaamini Mungu hayupo.

Si ajabu hata wanaoamini Mungu yupo, kutofautiana katika imani hiyo.

Huu ndiyo ulimwengu tunaouona hivi sasa.

Ulimwengu ambao haupingani na habari ya kutokuwapo kwa Mungu.

Ila

Kama Mungu yupo. Mjuzi wa yote. Muweza yote. Mwenye upendo wote. Mungu huyu asingekuwa na upendeleo kwa watu fulani kuwafanya waishi kwa kumjua na wengine kuwanyima akiki za kumjua.

Ulimwengu wa Mungu huyu kuwapo ungekuwana viumbe wote (si watu tu, mpaka wanyama) wanaakiki sawa na kumjua Mungu. Kwa sababu vinginevyo ingekuwa Munguvanaonyesha upendeleo kwa baadhi na anabagua baadhi, kitu ambacho Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hawezi kufanya.

Kwa hiyo ulimwengu huu tunaoishi ambao una viumbe vyenye akiki tofauti, vingine vinamjua Mungu na vingine havimjui, unaonyesha kwamba Mungu huyo hayupo.

Mimi nakujibu maswali yako.

Wewe hunijibu.

Naomba nijibu.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Kuna vitu vingine ni vingumu sana kuviamini....... Africa wazee walikuwa wanaamini mambo ya mila na walikuwa wanafanikiwa sana kwenye shughuli zao tofauti na sasa hivi watu wameacha mambo ya mila na wameamua kuamini kile kilicho letwa na mzungu......

Mbona kuna nchi nyingine hawaamini uwepo wa Mungu tunaemfahamu sisi lakini wanafanikiwa kwenye nyanja tofauti tofauti.... Israel ni taifa la Mungu lakini wanatumia biblia tofauti na wanayoitumia africa......
Mungu ana taifa lake?

Huyo Mungu mbona mbaguzi hivyo?
 
Tatizo sio waelewa.

Kumbuka unasema kuwa huu ulimwengu ulivyo ni contradiction kwa mungu ambaye anaelezwa kuwa na upendo na uwezo wote,hivyo mie nilikuwa najadili hiyo uliyoita contradiction na ndiyo msingi wa hilo swali lako,sasa unaposema sijajibu swali lako unaonesha hujui unachokihitaji na ndiyo maana hata umpewe uthibitisho wa kiasi gani hamtoweza kukubali kwa kuwa hamjui hicho mnachokitaka huwezi kukijua kama ndiyo hicho hata ukipewa.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Umethibitisha wapi?
 
Kuna vitu vingine ni vingumu sana kuviamini....... Africa wazee walikuwa wanaamini mambo ya mila na walikuwa wanafanikiwa sana kwenye shughuli zao tofauti na sasa hivi watu wameacha mambo ya mila na wameamua kuamini kile kilicho letwa na mzungu......

Mbona kuna nchi nyingine hawaamini uwepo wa Mungu tunaemfahamu sisi lakini wanafanikiwa kwenye nyanja tofauti tofauti.... Israel ni taifa la Mungu lakini wanatumia biblia tofauti na wanayoitumia africa......
Hayo tunayoyaita huku Duniani ni mafanikio kwa Mungu sio mafanikio....
 
Kama Mungu hayupo, si ajabu watu kuwa na akili tofauti.

Sivajabu kwa wengine kuamini Mungu yupo na wengine wakaamini Mungu hayupo.

Si ajabu hata wanaoamini Mungu yupo, kutofautiana katika imani hiyo.

Huu ndiyo ulimwengu tunaouona hivi sasa.

Ulimwengu ambao haupingani na habari ya kutokuwapo kwa Mungu.

Ila

Kama Mungu yupo. Mjuzi wa yote. Muweza yote. Mwenye upendo wote. Mungu huyu asingekuwa na upendeleo kwa watu fulani kuwafanya waishi kwa kumjua na wengine kuwanyima akiki za kumjua.

Ulimwengu wa Mungu huyu kuwapo ungekuwana viumbe wote (si watu tu, mpaka wanyama) wanaakiki sawa na kumjua Mungu. Kwa sababu vinginevyo ingekuwa Munguvanaonyesha upendeleo kwa baadhi na anabagua baadhi, kitu ambacho Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hawezi kufanya.

Kwa hiyo ulimwengu huu tunaoishi ambao una viumbe vyenye akiki tofauti, vingine vinamjua Mungu na vingine havimjui, unaonyesha kwamba Mungu huyo hayupo.

Mimi nakujibu maswali yako.

Wewe hunijibu.

Naomba nijibu.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Siwezi kukusaidia ikiwa huna uelewa halafu mbishi hutaki kuelekezwa,hivyo usiseme sikujibu maswali yako.

Suala la Mungu ni la imani,na ndiyo maana wapo wanaoamini na wasioamini,lakini kama suala la kutokuwepo mungu si imani basi na uthibitisho upo basi ni ajabu kuwepo tofauti kwenye jambo lenye uthibitisho na si imani.

Ila wewe unasema si ajabu na si lazima kwa anayesema hakuna mungu kuwa na uhakika kuwa hayupo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Umethibitisha wapi?
Tunazungumzia contradiction hapa. Nimetoa hoja kuwa kama Mungu hakulazimika kuumba ulimwengu wa aina maalumu tofauti na huu basi huwezi kusema kuna contradiction.
 
Lazima kila binadamu anaamini uwepo wa Mungu haijalishi Dini wala nini ila kuna jambo labda unahisi ni la kipekee linatokea hapa Duniani au limewahi kutokea hata kwako wewe mwenyewe mpaka limekufanya uamini kweli Mungu yupo.

Kwa mfano mimi kila ninapoona giza linaingia na halafu tena kesho yake kunakucha yaani kunakucha. Hii kwangu ni sababu tosha ya kuamini uwepo wa Mungu, hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kulifanya hili Duniani kote.

Ahsanteni, Asubuhi njema.
Mimi mwenyewe ni uthibitisho kuwa Mungu yupo. Nani alimuumba mwanadamu plus dunia na vyote vilivyomo? Mwanadamu ni wonderful creation!!! Kuliko vyote alivyoumba Mungu!!!!1
 
Siwezi kukusaidia ikiwa huna uelewa halafu mbishi hutaki kuelekezwa,hivyo usiseme sikujibu maswali yako.

Suala la Mungu ni la imani,na ndiyo maana wapo wanaoamini na wasioamini,lakini kama suala la kutokuwepo mungu si imani basi na uthibitisho upo basi ni ajabu kuwepo tofauti kwenye jambo lenye uthibitisho na si imani.

Ila wewe unasema si ajabu na si lazima kwa anayesema hakuna mungu kuwa na uhakika kuwa hayupo.

Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Hujaondoa contradiction ya huyo Mungu.

Kwa sababu hayupo.
 
Tunazungumzia contradiction hapa. Nimetoa hoja kuwa kama Mungu hakulazimika kuumba ulimwengu wa aina maalumu tofauti na huu basi huwezi kusema kuna contradiction.
Contradiction ni nini? Maana siyo unatumia tu neno kumbe hata maana yake hujui.

Kwanza niambie contradiction maana yake nini nijue kama unaelewa unapotaja hilo neno.
 
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Hujaondoa contradiction ya huyo Mungu.

Kwa sababu hayupo.
Umeshindwa kutetea madai hayo ya contradiction halafu unadai mie nimeshindwa kuondoa hiyo contradiction.

Nimekwambia kama Mungu hakulazimika kuuumba ulimwengu wa aina fulani tofauti na huu iweje useme mungu kajipinga kuumba huu ulimwengu? umeshindwa kuonesha ni vp ulimwengu huu ni contradiction umebaki kulazimisha tu.
 
Umeshindwa kutetea madai hayo ya contradiction halafu unadai mie nimeshindwa kuondoa hiyo contradiction.

Nimekwambia kama Mungu hakulazimika kuuumba ulimwengu wa aina fulani tofauti na huu iweje useme mungu kajipinga kuumba huu ulimwengu? umeshindwa kuonesha ni vp ulimwengu huu ni contradiction
Ili kuelewana katika mazungumzo, inabidi wote tukubaliane kwamba tunaposema "contradiction" tuna maana moja.

Ili mimi ninapoandika "contradiction" maana yangu iwe ile ile sawa na yako unapoandika "contradiction".

Vinginevyo, wewe unaweza kuandika "contradiction" ukimaanisha nyekundu, na mimi nikaandika "contradiction" nikimaanisha bluu, halafu tukashindwa kuelewana kwa sababu hatujakubaliana basic definitions tu.

Ndiyo maana nikakuuliza, kabla ya kwenda mbali.

Unaweza kuniambia, kwa uelewa wako, neno "contradiction" maana yake nini?

Hujanijibu.

Bila kunijibu swali hili, mjadala zaidi kuhusu contradiction utakosa maana.

Tafadhali nijibu.
 
Contradiction ni nini? Maana siyo unatumia tu neno kumbe hata maana yake hujui.

Kwanza niambie contradiction maana yake nini nijue kama unaelewa unapotaja hilo neno.
Eleza wewe maana ya hilo neno ambalo unaona mie silifahamu,na maana yeyote utakayotoa tutajadili.
 
Ili kuelewana katika mazungumzo, inabidi wote tukubaliane kwamba tunaposema "contradiction" tuna maana moja.

Ili mimi ninapoandika "contradiction" maana yangu iwe ile ile sawa na yako unapoandika "contradiction".

Vinginevyo, wewe unaweza kuandika "contradiction" ukimaanisha nyekundu, na mimi nikaandika "contradiction" nikimaanisha bluu, halafu tukashindwa kuelewana kwa sababu hatujakubaliana basic definitions tu.

Ndiyo maana nikakuuliza, kabla ya kwenda mbali.

Unaweza kuniambia, kwa uelewa wako, neno "contradiction" maana yake nini?

Hujanijibu.

Bila kunijibu swali hili, mjadala zaidi kuhusu contradiction utakosa maana.

Tafadhali nijibu.
Nimeshakwambia eleza wewe maana ya contradiction,maana wewe ndiye uliyeleta hoja ya contradiction na ndiye unaeona mie natofautiana na wewe katika maana ya hilo neno.
 
Back
Top Bottom