Ngunya1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 406
- 642
Habari wapendwa kwema mimi binafsi tukio ambalo liliniumiza ni pale nilipo poteza Kazi mara ya kwanza kwa sababu ya majungu.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni baada ya wiki mbili nilipata kazi nzuri sana na wale walio fanya majungu baadae waliaibika sana.
Share chochote ambacho kilikuumiza.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni baada ya wiki mbili nilipata kazi nzuri sana na wale walio fanya majungu baadae waliaibika sana.
Share chochote ambacho kilikuumiza.