MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
1: Kuurudisha uwanja wa Kirumba Mwanza na vingine vyote serikalini. Hili dukuduku lilishika kasi nilipokutana na mtu wa makamo alivyoeleza walivyokuwa wanatolewa shule ili wakashiriki ujenzi si kwa sababu ni CCM bali kwa sababu ni wananchi, hii kazi ilipaswa kufanywa 1992 na nyerere lkn sielewi alizidiwaje.
Endelea...
Endelea...