Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this feasible and implementable?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,316
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.

Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?

Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??

VODACOM WAMEKWAPUA WAZO LANGU BILA RIDHAA
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
IMG_20181203_121456_984.jpg
 
nyumba za kupanga zile ambazo mnashea meter moja vipi?? itakuaje??
 
Hivi munahela ya hiyo technology ya mfumo kama simu bro maana hata ulaya wana nunu kwa mfumo wa mulio upinga mwanzoni analogy to digital





Siti ya mtu
 
Umetisha mzee baba,Kama Ni Nyumba ya kupanga haina shida maana wakati unanunua umeme unaingiza meter number ambayo unataka umeme uingie,
Inawezekana kabisa,but pendekezo lango andika hii thread kule kwenye thread ya Tanesco nahisi wataipata mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.

Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?

Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??

KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433
HIZI METER SASA ZIPO UNAPEWA GADGET NYUMBANI UNANUA AMA UKIWA PAHALA UNAPATA MOJA BARIDI WAKISEMA HALI TETE UNANUNUA FASTER NA UNAINGIA MOJA KWA MOJA …. NEW INSTALATIONS ZOTE NDIO MAPANGO MZIMA...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.

Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable?

Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO hawawezi kuja na mita mpya na za kisasa za umeme ambazo zinakuwa linked na servers zao kiasi kwamba ukinunua umeme kwa njia za kutumia electronic machine kama simu ya kiganjani ama maxmalipo basi zile units zinaenda automatically ndani ya mita kama vile umelipia king'amuzi cha DSTV??? Tunaweza kuachana na haya masuala ya kuingiza TOKEN??? Is this possible to implement wakuu??

KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
View attachment 1038433


Say it louder please....
volume.jpg
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom