CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Nitoe Kongole nyingi kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10 yanayoendelea kujengwa nchi nzima, lengo ni lile lile la kuboresha Elimu!
Hata hivyo kwa mustakabali mzima wa kuweka ufanisi katika ufuatiliaji nashauri nguvu nyingine kama hii iwekwe kwenye ujenzi wa Nyumba za walimu!
Bila shaka tunajua yapo maeneo ambayo hata kupata nyumba ya kupanga ni changamoto! Na hivyo walimu hulazimika kukaa mbali na shule,
Lakini kama tujuavyo walimu hawana posho ya malazi na hivyo hulazimika kujibana kutokana na mshahara huo huo,
KWA maoni yangu hakuna mwanafunzi bila mwalimu,
Tunaofahamu mazingira ya vijijini na mijini tunaona jinsi walimu wanavyoishi maisha magumu!
Hebu tutafute pesa "PAHALA"
tuwajengee walimu nyumba zenye hadhi wakae shuleni na tuwapunguzie mzigo wa Kodi na umbali tutaona matunda yake!
Nawasilisha.
Hata hivyo kwa mustakabali mzima wa kuweka ufanisi katika ufuatiliaji nashauri nguvu nyingine kama hii iwekwe kwenye ujenzi wa Nyumba za walimu!
Bila shaka tunajua yapo maeneo ambayo hata kupata nyumba ya kupanga ni changamoto! Na hivyo walimu hulazimika kukaa mbali na shule,
Lakini kama tujuavyo walimu hawana posho ya malazi na hivyo hulazimika kujibana kutokana na mshahara huo huo,
KWA maoni yangu hakuna mwanafunzi bila mwalimu,
Tunaofahamu mazingira ya vijijini na mijini tunaona jinsi walimu wanavyoishi maisha magumu!
Hebu tutafute pesa "PAHALA"
tuwajengee walimu nyumba zenye hadhi wakae shuleni na tuwapunguzie mzigo wa Kodi na umbali tutaona matunda yake!
Nawasilisha.