Kama mdau mkubwa wa elimu, naona mambo haya yataboresha elimu yetu
1. Vyumba vya madarasa vya kutosha
2. Madawati ya kutosha (tuna misitu mingi sana)
3. Maabara oa vifaa vya kutosha
4. Vitabu vyenye sifa katika ngazi husika
5. Mtaala na sera yetu kama taifa kuhusu elimu
6. Viwanja vya michezo mashulen
7. Walimu wa kutosha na walio hitimu mafunzo ya ualimu
8. Nyumba bora za walimu
9. Maslahi bora kwa walimu zikiwemo semina na motisha mbalimbali
10. Serikali igharamie elimu kupitia rasilimali zilizopo nchini
11. Wizara ya elimu na taasisi zake zisiongozwe na wanasiasa
Kwa haya naamin tutaboresha elimu yetu
Nawasilisha na ninaomba kama huna cha kuchangia usilete kejeri au matusi hapa.
1. Vyumba vya madarasa vya kutosha
2. Madawati ya kutosha (tuna misitu mingi sana)
3. Maabara oa vifaa vya kutosha
4. Vitabu vyenye sifa katika ngazi husika
5. Mtaala na sera yetu kama taifa kuhusu elimu
6. Viwanja vya michezo mashulen
7. Walimu wa kutosha na walio hitimu mafunzo ya ualimu
8. Nyumba bora za walimu
9. Maslahi bora kwa walimu zikiwemo semina na motisha mbalimbali
10. Serikali igharamie elimu kupitia rasilimali zilizopo nchini
11. Wizara ya elimu na taasisi zake zisiongozwe na wanasiasa
Kwa haya naamin tutaboresha elimu yetu
Nawasilisha na ninaomba kama huna cha kuchangia usilete kejeri au matusi hapa.