muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Jee patokea askofu akasema ameoteshwa kwamba maji ya bwawa la mtera kuwa ni dawa ya magonjwa kama malaria. Kichomi, presha, ukimwi na magonjwa mengine gov itabariki?
Jee patokea askofu akasema ameoteshwa kwamba maji ya bwawa la mtera kuwa ni dawa ya magonjwa kama malaria. Kichomi, presha, ukimwi na magonjwa mengine gov itabariki?
govt ya alhaji kikwete? Nafikiri itabariki
Hivi Kikwete huyu Jakaya Mrisho Kikwete au mwingine uliemkusudia hapa?, sijajuwa ka JMK alienda kuhiji.
Kwa serikali tuliyonayo gov.itaridhia na kutoa ulinzi na usimamizi jinsi ya kuchota haya maji.this is the only goverment that suports a crazy MYTH like the one in loliondo.
Jee ikiwa ya padri slaa itakataa
Jee patokea askofu akasema ameoteshwa kwamba maji ya bwawa la mtera kuwa ni dawa ya magonjwa kama malaria. Kichomi, presha, ukimwi na magonjwa mengine gov itabariki?