Tukiachana Madini ya ACACIA, Gesi ya Msimbati tunafaidika kiasi gani?Wanyama wetu kule mbugani je?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Ninyi tuache tu utani, nchi hii kila kona inaliwa vibaya mno! Hivi mnaweza kujua kwenye gas ya juzi tu iliyotoka mtwara tubapigwa kiasi gani? Fuatilieni mpate hata nakala moja ya mikataba ndio mtajua tu kua sio madini tu kuna mengi.

Nendeni mkaangalie mbuga za wanyama kule, wawekezaji wa uwindani wamepewa vibali vya kuwinda wanyama gani na wanaua wanyama gani? Mnajua mikata ya waliopewa vitalu vya kuwinda?
 
Back
Top Bottom