Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Hilo ni swali fikirishi, naomba uorodheshe kikubwa tulichofikia hadi leo ukilinganisha na utawala uliopita!
Kama ni Bara Bara, zilikuwepo na zilikuwa zinaendelea kujengwa!
Watumishi wa umma vilio vilikuwepo vya mishahara midogo japo wakilinganisha na sasa, wanaona bora zaman (hawa kila siku wao ni kulia tu ila kwa sasa wamezidishiwa stress)
Hayo ni yangu machache, nisaidieni kuleta mapya mazuri yakujenga Tanzania mpya yaliyoanzishwa awamu hii
Kama ni Bara Bara, zilikuwepo na zilikuwa zinaendelea kujengwa!
Watumishi wa umma vilio vilikuwepo vya mishahara midogo japo wakilinganisha na sasa, wanaona bora zaman (hawa kila siku wao ni kulia tu ila kwa sasa wamezidishiwa stress)
Hayo ni yangu machache, nisaidieni kuleta mapya mazuri yakujenga Tanzania mpya yaliyoanzishwa awamu hii