seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
ST. Francis Girls secondary school Mbeya ina Division one za point saba 80 kati ya wanafunzi 90 darasani, Kumi waliobaki wana diviosion one ya point nane na tisa
Kwa ufupi shule za wakatoliki hasa hawa masister ni shida ni balaaa
Darasa nzima linapiga Single digit yaani division one ya point saba mpaka tisa
Nasikia hata ile Canossa ni shule ya masister wa kikatoliki sina hakika bali imetoa mwanafunzi bora wa kike.
Huu ni muda wa serikali kuchukua wenye ufaulu mkubwa na kwenda kufundisha shule za kata
Wanafunzi waliofauli vizuri kidato cha nne na sita walazimishwe kwenda kusomea ualimu
Hata ikiwezekana kwa viboko naunga mkono hoja
Kwa ufupi shule za wakatoliki hasa hawa masister ni shida ni balaaa
Darasa nzima linapiga Single digit yaani division one ya point saba mpaka tisa
Nasikia hata ile Canossa ni shule ya masister wa kikatoliki sina hakika bali imetoa mwanafunzi bora wa kike.
Huu ni muda wa serikali kuchukua wenye ufaulu mkubwa na kwenda kufundisha shule za kata
Wanafunzi waliofauli vizuri kidato cha nne na sita walazimishwe kwenda kusomea ualimu
Hata ikiwezekana kwa viboko naunga mkono hoja