Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,710
mtu apige div1 pts 7 akimbilie ajira ya ualimu ambayo anaearn hardly laki 3 kwa mwezi? Ni chizi pekee ndio atapenda ualimu.Ualimu ukiwekewa mazingira mazuri na mafao.mazuri automatically wenye sifa bora watakimbilia huko; automatically wenye sifa dhaifu watajikuta wanatafuta kazi nyingine za kufanya. Serikali iweke minimum wage ualimu sekondari kwa mfano iwe TZS 2.5 m/= uone kama the best hawajelekea ualimu. Tatizo lililopo ni mazingira na mishahara duni.