GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Hili ni swali ambalo nmkuwa nikijiuliza sana kutokana na sasa kila mtu kuonesha ukaribu wake na jinsi alivyomfaham ndugu kingunge ngomale mwiru.
Watu wamefikia kumwita ni shuajaa wa taifa.nikalazimika kurudi nyuma kusoma michango mbalimbali ya huyu mzee wetu katika taifa hili mpaka anafariki.namkumbuka zaidi kwa msemo wake kuwa "CCM imeishiwa pumzi" hilo ndilo nalo kumbuka.
Namkumbuka pia alivyohusika kwenye mchakato wa kutafuta katiba mpya... Kingunge alishakuwa amepoteza network muda mrefu kisiasa.hakuwa na mvuto toka akiwa ndani ya CCM na hata alipokuja kustaafu siasa za CCM.
Sioni mchango wake mkubwa kitaifa ambao unapaswa kumfanya shujaa.kinyume na hapo tuendelee kumpa sifa za marehemu. Ila pia wajuzi mnaweza nifahamisha.kwa wale ambao watataka kujua umri wangu niwaambie tu rais nyerere yupo madarakani mimi najitambua mpaka anamwachia mwinyi madaraka.nikifuatilia kwa ukaribu siasa za nchi hii.
Mimi ni mmoja wa waliokuwa wakihitaji serikali ya tanganyika miaka ile ya kundi la G55 likiwa na akina njeru kasaka etc. Jambo lililokuja mgombanisha nyerere na john malecela na kutengeneza uadui mkubwa sana.
Lakini sioni ushujaa wa kingunge. Mnisaidie maana tuna mitazamo tofauti. Kinyume na hapo sikatai yapo ya kujifunza toka kwa marehemu mazuri na mabaya.lakini tusifikie kuwa wanafiki. Roho yake iwekwe inapostahili. Amina.
Watu wamefikia kumwita ni shuajaa wa taifa.nikalazimika kurudi nyuma kusoma michango mbalimbali ya huyu mzee wetu katika taifa hili mpaka anafariki.namkumbuka zaidi kwa msemo wake kuwa "CCM imeishiwa pumzi" hilo ndilo nalo kumbuka.
Namkumbuka pia alivyohusika kwenye mchakato wa kutafuta katiba mpya... Kingunge alishakuwa amepoteza network muda mrefu kisiasa.hakuwa na mvuto toka akiwa ndani ya CCM na hata alipokuja kustaafu siasa za CCM.
Sioni mchango wake mkubwa kitaifa ambao unapaswa kumfanya shujaa.kinyume na hapo tuendelee kumpa sifa za marehemu. Ila pia wajuzi mnaweza nifahamisha.kwa wale ambao watataka kujua umri wangu niwaambie tu rais nyerere yupo madarakani mimi najitambua mpaka anamwachia mwinyi madaraka.nikifuatilia kwa ukaribu siasa za nchi hii.
Mimi ni mmoja wa waliokuwa wakihitaji serikali ya tanganyika miaka ile ya kundi la G55 likiwa na akina njeru kasaka etc. Jambo lililokuja mgombanisha nyerere na john malecela na kutengeneza uadui mkubwa sana.
Lakini sioni ushujaa wa kingunge. Mnisaidie maana tuna mitazamo tofauti. Kinyume na hapo sikatai yapo ya kujifunza toka kwa marehemu mazuri na mabaya.lakini tusifikie kuwa wanafiki. Roho yake iwekwe inapostahili. Amina.