VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Namba huzungumza. Namba huweka ushahidi na kumaliza mabishano. Inasemwa hapa Tanzania kuwa kwasasa CHADEMA/UKAWA wana mafisadi kuliko CCM. Na inasemwa kuwa CCM imejivua gamba kiaina kwa mafisadi wote/watuhumiwa wa ufisadi kuhamia CHADEMA/UKAWA.
Sasa tumalize ubishi. Sasa tuweke mambo hadharani. Tuanike hapa idadi au majina ya mafisadi/watuhumiwa wa ufisadi ili tuone nani au chama kipi hasa ni kichafu.Mimi naanza. Nawakumbusha List of Shame ya CHADEMA iliyotajwa pale Mwembeyanga mwaka 2007. Yalitajwa majina 11. Kati ya majina hayo, majina 10 bado yapo CCM.
Jina moja lipo CHADEMA/UKAWA. Hadi hapo,CCM ina kura za uchafu 10 na CHADEMA ina kura moja ya uchafu. Nimekumbusha List hii kwakuwa hakuna aliyekwenda mahakamani kupinga au kulalamikia kutajwa kwenye Orodha ile ya mafisadi.Karibuni mtaje na tuone uchafu halisi wa vyama vya CCM na CHADEMA/UKAWA
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Sasa tumalize ubishi. Sasa tuweke mambo hadharani. Tuanike hapa idadi au majina ya mafisadi/watuhumiwa wa ufisadi ili tuone nani au chama kipi hasa ni kichafu.Mimi naanza. Nawakumbusha List of Shame ya CHADEMA iliyotajwa pale Mwembeyanga mwaka 2007. Yalitajwa majina 11. Kati ya majina hayo, majina 10 bado yapo CCM.
Jina moja lipo CHADEMA/UKAWA. Hadi hapo,CCM ina kura za uchafu 10 na CHADEMA ina kura moja ya uchafu. Nimekumbusha List hii kwakuwa hakuna aliyekwenda mahakamani kupinga au kulalamikia kutajwa kwenye Orodha ile ya mafisadi.Karibuni mtaje na tuone uchafu halisi wa vyama vya CCM na CHADEMA/UKAWA
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam