Mradi wa Bagamoyo ni drama za ajabu sana huwezi kupata faida kwenye mkataba kama unaongea na mwekezaji mmoja tu. Kama China na Oman wanajua wako peke yao serikali itakuwa kwenye wakati mgumu sana kuweza kujadili mkataba mzuri. Hivyo ushauri wangu ni kutangaza upya uwekezaji maana siku hizi wawekezaji wameongezeka sana
1. G7 nchi tajiri kuliko zote Duniani wameamua kuanzisha shirika la uwekezaji kushindana na China
2. Tunawa kukopesha na kufanya wenyewe bila masharti
Kitu kingine hii bandari haijitaji ukubwa kana kwamba hatuna bandari nyingine maaneo hayo hivyo gharama za mradi zinaweza kupungua sana kama tukigawa mizigo kati ya hizi bandari mbili chini ya serikali yaani ni kama stendi ndogo na kubwa kutokana na ukubwa wa mizigo.
Hakuna sababu ya kukuza mradi sana wakati tayari tuna bandari na reli dar hii iwe ya meli kubwa tu tutashangaa gharama zitashuka sana na tunaweza kukopa wenyewe. Uwekezaji mkubwa uwe kwenye industry park.
Kwenye hii park tusikubali china wawe pakee maana tunaweza kuwa na uwekezaji wa nchi za ulaya tukiweka uendeshaji wa china pekee watakuwa wana block hizi kampuni.
1. G7 nchi tajiri kuliko zote Duniani wameamua kuanzisha shirika la uwekezaji kushindana na China
2. Tunawa kukopesha na kufanya wenyewe bila masharti
Kitu kingine hii bandari haijitaji ukubwa kana kwamba hatuna bandari nyingine maaneo hayo hivyo gharama za mradi zinaweza kupungua sana kama tukigawa mizigo kati ya hizi bandari mbili chini ya serikali yaani ni kama stendi ndogo na kubwa kutokana na ukubwa wa mizigo.
Hakuna sababu ya kukuza mradi sana wakati tayari tuna bandari na reli dar hii iwe ya meli kubwa tu tutashangaa gharama zitashuka sana na tunaweza kukopa wenyewe. Uwekezaji mkubwa uwe kwenye industry park.
Kwenye hii park tusikubali china wawe pakee maana tunaweza kuwa na uwekezaji wa nchi za ulaya tukiweka uendeshaji wa china pekee watakuwa wana block hizi kampuni.