nashukuru tumeamka salama na hata wewe unayeumwa nakuombea upone haraka,ni hivi wewe kijana unayependa mabadiliko lazima ukajiandikishe kwanza ndipo ufanye mabadiliko,utakumbuka leo ni siku ya mwisho,ttzo kubwa la vijana hatujitambui utakuta makundi ya vijana kwenye kahawa,pool table,kwa shoe shine,wakibishana kuhusu mafisadi kuchota mabilion yao lakin ukiwauliza wamejiandisha wanabaki kukodoa macho tu!nakuhahakishia mabadiliko hayaji kwa ubishi wa vijiweni,haya basi TWENZETU