Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,836 93,615 Jan 26, 2018 #2 Hakuna uchaguzi hapo zaidi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.
K kabombe JF-Expert Member Feb 11, 2011 26,152 18,738 Jan 26, 2018 #3 Kuna mkanganyiko mkubwa huko kinondoni,makamanda wameweka mgomo baridi kumfanyia kampeni pandikizi ambae hawezi hata kujipigia kura
Kuna mkanganyiko mkubwa huko kinondoni,makamanda wameweka mgomo baridi kumfanyia kampeni pandikizi ambae hawezi hata kujipigia kura
shabhibhii nafwa JF-Expert Member Jan 8, 2015 300 148 Jan 26, 2018 Thread starter #4 kabombe said: Kuna mkanganyiko mkubwa huko kinondoni,makamanda wameweka mgomo baridi kumfanyia kampeni pandikizi ambae hawezi hata kujipigia kura Click to expand... Tuambieni kinachoendelea sisi wa machakani izo za kususia sisi hatujui
kabombe said: Kuna mkanganyiko mkubwa huko kinondoni,makamanda wameweka mgomo baridi kumfanyia kampeni pandikizi ambae hawezi hata kujipigia kura Click to expand... Tuambieni kinachoendelea sisi wa machakani izo za kususia sisi hatujui