- Kuna watu hudai hawajajiandaa kila wanapopewa taarifa ya kufika msibani,
- kuna watu hudai hawana nauli ya kwenda msibani,
- kuna watu hudai hawana nguo za kuvaa msibani,
- kuna watu hudai hawajaaga kazini ili wakwepe kufika msibani
- kuna watu hudai wamebanwa na biashara zao
- Kuna watu husingizia wananyonyesha ilimradi wasifike msibani..........
Ebu tuelezane ukweli hapa; ni changamoto gani huwa unakumbana nayo inayokufanya kutohudhuria misiba? Je wanafamilia wenzako Wanakuelewa?
KARIBUNI