sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,031
Habari wadau, Nataka kuagiza mizigo kutoka China
Nimejuzwa kwamba kuna makampuni yanahusika na kuleta mizigo mpaka hapa Tanzania.
Sasa najua wengi pengine kwa haraka haraka mmeona ni heri ningeongea nao hizo kampuni moja kwa moja, Ni jambo zuri lakini kwa uzoefu wangu nimeona wataongelea tu mazuri bila kunijuza changamoto, matatizo, Gharama za ziada, n.k
Sasa basi mtujuze ambao ni wazoefu ili na sisi makinda tusijikwae mlipojikwa
Nimejuzwa kwamba kuna makampuni yanahusika na kuleta mizigo mpaka hapa Tanzania.
Sasa najua wengi pengine kwa haraka haraka mmeona ni heri ningeongea nao hizo kampuni moja kwa moja, Ni jambo zuri lakini kwa uzoefu wangu nimeona wataongelea tu mazuri bila kunijuza changamoto, matatizo, Gharama za ziada, n.k
Sasa basi mtujuze ambao ni wazoefu ili na sisi makinda tusijikwae mlipojikwa