Sio za siku nne.
Kauli iliyopatikana leo ni kuwa cheque iko kwa Mkurugenzi. Hatari iliyopo ni kuwa siku za kazi zilizobaki kwa wiki hii ni kesho na keshokutwa tu. Wajuzi wa mambo wanasema walimu wa Sekondari wilaya ya Mkinga mna hali ngumu sababu viongozi wenu hawajali, muda mwingi wako bize na shughuli zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.