101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,116
1. Kuna baadhi ya wauza mikate wanatabia ya kupunguza zile slesi katika mkate..
Alafu wanazikusanya kupata mkate Mwingine, ngumu sana kulingudua ilo maana watu hawana muda wa kuhesabu slesi za mkate
2. Jamaa zetu wauza viberit nao wanafanya mchezo kama wauza mikate
Wanapunguza zile njiti alafu wanapata kiberiti kipya, yaani apo anapata Faida ya ziada
3. Kwenye mafuta ya kupikia, wanaifungua galoni wanapunguza mafuta kisha wanaibonyeza pembeni nafasi ya mafuta waliyoyatoa hewa inakaaa...galoni inasoma lita 5 kumbe ni lita 4 na ukiicheki chupa ya galoni ina dimpoz...watu ni wahuni sanaaa....hahahahhaaaa
4. Kuna mbinu moja matata sana katika mzani yaan unakuta mzani unawekwa upande wa fen ule ambao umewekwa unga au chochote kinachopimwa ile fen unakuta inazunguka kwa kasi sana unazani kakuzidishia bizaa kumbe upepo wa fen tuwe makini hapo
5. K/koo wanatabia ya kuipaka nyanya mafuta ikipigwa na taa ile ya jion inang'aa hatari ukichunguza vzr utakuta mbovu
6. Ukinunua sosej, ndizi au nyama choma ukaletewa imekatwakatwa tyr, jua kuna vipande vishaibiwa. Ni rahisi kujua ktk sosej na ndizi maana zile ncha mbili za sosej au ndizi huenda usione moja wapo ktk vile vipande. Nyama choma huwezi jua ila mishkaki omba uletewe na vijiti vyake.
7. Michele wa quality moja ambao unaoaswa kuuzwa Tsh 1,900 kwa kilo unagawanyishwa magunia mawili tofauti .gunia moja unaambiwa kg 1 ni 1900 na jingine kg 1 ni 2200.... Wengi wetu tunakimbilia wa 2,200 kwa kuamini ndio Bora.. unapigwa ukicheka hapo
8. Huku kwetu sabuni za kupima wanachanganya na unga kidogo,unanunua kilo ya sabuni haina povu halafu unaweza shangaa nusu nzima umeimaliza kwa nguo tano tu.
Alafu wanazikusanya kupata mkate Mwingine, ngumu sana kulingudua ilo maana watu hawana muda wa kuhesabu slesi za mkate
2. Jamaa zetu wauza viberit nao wanafanya mchezo kama wauza mikate
Wanapunguza zile njiti alafu wanapata kiberiti kipya, yaani apo anapata Faida ya ziada
3. Kwenye mafuta ya kupikia, wanaifungua galoni wanapunguza mafuta kisha wanaibonyeza pembeni nafasi ya mafuta waliyoyatoa hewa inakaaa...galoni inasoma lita 5 kumbe ni lita 4 na ukiicheki chupa ya galoni ina dimpoz...watu ni wahuni sanaaa....hahahahhaaaa
4. Kuna mbinu moja matata sana katika mzani yaan unakuta mzani unawekwa upande wa fen ule ambao umewekwa unga au chochote kinachopimwa ile fen unakuta inazunguka kwa kasi sana unazani kakuzidishia bizaa kumbe upepo wa fen tuwe makini hapo
5. K/koo wanatabia ya kuipaka nyanya mafuta ikipigwa na taa ile ya jion inang'aa hatari ukichunguza vzr utakuta mbovu
6. Ukinunua sosej, ndizi au nyama choma ukaletewa imekatwakatwa tyr, jua kuna vipande vishaibiwa. Ni rahisi kujua ktk sosej na ndizi maana zile ncha mbili za sosej au ndizi huenda usione moja wapo ktk vile vipande. Nyama choma huwezi jua ila mishkaki omba uletewe na vijiti vyake.
7. Michele wa quality moja ambao unaoaswa kuuzwa Tsh 1,900 kwa kilo unagawanyishwa magunia mawili tofauti .gunia moja unaambiwa kg 1 ni 1900 na jingine kg 1 ni 2200.... Wengi wetu tunakimbilia wa 2,200 kwa kuamini ndio Bora.. unapigwa ukicheka hapo
8. Huku kwetu sabuni za kupima wanachanganya na unga kidogo,unanunua kilo ya sabuni haina povu halafu unaweza shangaa nusu nzima umeimaliza kwa nguo tano tu.