Harry singo
JF-Expert Member
- Apr 24, 2016
- 352
- 437
Habari zenu wanna jf.
Kuna mtu amenijia na wazo la kufungua kampuni ya usafi baada ya kuitwa kwenda kwa mwanasheria Fulani kwenda kumfulia nguo na kumfanyia usafi ambapo anasema alimlipa elfu kumi kumi kadhaa (hakuniambia) akaniambia nimpatie mtaji ili anunue vifaa kwa ajili ya kuanza biashara hiyo.
Akanitajia vifaa Kama vile driller, vacuum cleaner, na vingine vingine. Kwa kweli nilihamasika nikatamani niingie ubia naye ila nikaona kabla ya kuyoa pesa yangu nijadiliane kidogo na wajuvi was jf ndugu zangu was mtandaoni.
Hivyo nakaribisha michango kuhusu biashara hii, gharama za uanzishaji, vifaa, faida, changamoto zake, upatikanaji was wateja nk.
Asanteni.
Omoghambi wa itoronto,
Kuna mtu amenijia na wazo la kufungua kampuni ya usafi baada ya kuitwa kwenda kwa mwanasheria Fulani kwenda kumfulia nguo na kumfanyia usafi ambapo anasema alimlipa elfu kumi kumi kadhaa (hakuniambia) akaniambia nimpatie mtaji ili anunue vifaa kwa ajili ya kuanza biashara hiyo.
Akanitajia vifaa Kama vile driller, vacuum cleaner, na vingine vingine. Kwa kweli nilihamasika nikatamani niingie ubia naye ila nikaona kabla ya kuyoa pesa yangu nijadiliane kidogo na wajuvi was jf ndugu zangu was mtandaoni.
Hivyo nakaribisha michango kuhusu biashara hii, gharama za uanzishaji, vifaa, faida, changamoto zake, upatikanaji was wateja nk.
Asanteni.
Omoghambi wa itoronto,