Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadavua zaidi mkuu,Mimi nimeshawahi kutengeneza classified ads hii ishu ni rahisi sana kupata wateja na mapato kwa haraka kama utaiweka vizuri search engine kwenye Google vizuri
Mfano kama una store ya viatu ilikupata waingiaji wengi kwenye store yako nenda kwenye Google angalia watu wengi wanagoogle kitu gani kuhusu viatu hii itakurahishia kutarget waingiaji kwenye store yako
Hii iko vizuri mkuu, kati ya Kutumia CMS kama WordPress, Shopify na ku code from Scratch what's better?Hihi ni seller panel.
E-commerce nayo develop ina sede 3
1. Customer side - Hapa ndo account ya mtu anawaza kununua, ku-return, history, wishlist's etc
2. Seller Panel - Hapa ni kama ww bwana mwandishi, una upload bidhaa zako nina option 2 (single listing na multiple listing excel inatumika hapa ku upload Multiple) pia unauwezo ka kufungu store zaidi ya moja.
3. Logistic panel
View attachment 1836139
Multiple Currency feature - shukurani kwe django currency exchange
View attachment 1836141
Mfano wa Store page kwa Seller Account pia ina mwonekano tofauti kwa customers side
View attachment 1836142
Ukiachana na CSS3, HTML5, JavaScript, Jquery Font end inmetumia pia react .js
Back-end natumia python (Django Framework)
Storage natumia Azure ya microsoft inanipastorage kwa ajili ya testing
Database natumia PostgreSQL
billa kusahau mkuu Redis
Hello mkuu, tho nimechelewa kujibu.One of the great content zilizosoma in a while big up sana mkuu, unachokifanya hakitofautiani sana na dropshipping Sema ile imebase sana watu wanachukua products aliexpress then wanauza kwenye store zao kupitia shopify. Umejiongeza sana kupata suppliers wako na nimependa wanatuma products on weekly basis bonge moja la advantage tofauti na kwingine. Pia kwa kujudge backend UI ya store yako naona kabisa ni something iko next level...... Ushauri wangu mdogo Jaribu kuwa na Email lists audience kwa ajili ya e-commerce email marketing hii ni very important unaweza uka integrate mailchimp api kwenye store, unapofanya kazi na influencers especially wa instagram usisahau kucheck kama followers na likes zao ni za kweli huu mchezo tumefanya sana kwenye CPA marketing unakuta acc ina followers wengi na engagements za kutosha lakini zote BOKO, sijajua kama store yako ni Niche targeting (bidhaa moja) au ni General store (bidhaa tofauti) ila unapofanya SEO single product SEO ni bora kuliko whole Store SEO, jaribu kufanya sales funnels kwenye products zako, coupons, discounts na freebies kwa ajili ya kupata leads ni muhimu pia kwenye store, make sure content marketing iko fresh na copywriting ni muhimu pia unapofanya advertisements, usisahau kuweka pixels kwenye store kwaajili ya retargeting ads na ku build audience, lastly kwa experience yangu PPC ads ni bora sana kuliko FB or IG ads kwa e-commerce but do your own research all in all Goodluck with sales