Tujuzane kuhusu AC je ni kweli zinanyonya umeme hadi unit 35 kwa siku?

Ndo kinachonikosesha raha Dar joto limezidi, population ipo juu, huwa natamani sn niishi sehemu kama mafinga au lushoto huhitaji AC na unaepuka gharama kias
Wewe chunguza hili tunaoishi Dar tembelea sehemu zenye baridi usiku utalala usingizi Ambao hujawahi lala mwili utarefresh sn na utajikuta hata mchana unataka kulala may be mpaka siku 3-4 ndio mwili utarudi katika hali yake ya kawaida
Dar maeneo ya kifuru na king'azi kuanzia may uwa kunakua kuna kajubaridi flan
 
Braza units 30 per day!? Kwa AC moja? Acha masikhara hayo. Unajua hivi vifaa vya umeme huwa vinapimwa utumizi wake wa umeme kwa Watts. Ac inategemea na ukubwa wake wa watts

Nb Unit 1 ni sawa na Watts 1000.
Unit 1 ni sawa na 1 KWh ( 1 Kilowatt-Hour) sawa na umeme unaotumia kwa kutumia kifaa chenye rating ya 1000 Watts kwa saa1
 
Elementary Physics kabisa hii! Ordinary Level hii. Ulikimbia Physics enzi hizo halafu leo unakuja kusumbua hapa.
 
Jamani AC ni vifaa vya mabeberu, zimeletwa ili kutufanya tuwe maskini zaidi na kuharibu mapafu yetu. Toka zimeingia Tanzania magonjwa ya upumuaji yameongezeka zaidi, embu tujiulize mbona zamani hatukuwa na AC na mababu zetu waliishi vizuri!!!!

Alisikika kichaa mmoja maeneo ya Chato akisema hayo maneno, na wale wapuuzi wa rangi ya kijani wakimshangilia.
 
Braza units 30 per day!? Kwa AC moja? Acha masikhara hayo. Unajua hivi vifaa vya umeme huwa vinapimwa utumizi wake wa umeme kwa Watts. Ac inategemea na ukubwa wake wa watts

Nb Unit 1 ni sawa na Watts 1000.
Kwahyo kifaa cha watts 1000 kikiwaka kwa muda gan ndio kinakula 1 unit??
 
Habari yako. Sorry nimechelewa kukujibu nlikuwa na clear hapa airport ili nisafiri sasa hii ndege ni mpya nlikuwa nasubiri mhudumu anipeleke daraja la kwanza. Now nimekaa naangalia movie ndo nikasema angalau kwanza niwasalimia Jf nione wanaendeleaje. Mimi sikubaliabaliani na mawazo ya kimaskini ya kupima units za umeme. Mimi nyumbani AC zinawaka automatic joto likipanda tu kiasi flani. Na ni nyumba nzima hadi kwenye vibaraza. Na umeme nalipimia kiasi kidogo tu kwa mwezi. Kila mwisho wa mwezi unawekwa umeme wa 1,000,000. Na sijui kwa mwezi natumia kiasi gani maana sijawahi ktikiwa umeme.
 
AC sema zipo za ukubwa na aina mbalimbali. Kuna izi "power efficiency" inaweza kula units kidogo. Sasa itategemeana na vingi:

(1) umewasha masaa mangapi?
(2) joto unalotaka ishushe na hali ya hewa ya nje maana AC zikifika muda flan uwa zinajizima. Sasa kama nje joto 35 degrees wewe umeweka ifikishe 17 hapo kuzima sahau.
(3) size ya room
(4) aina, hali ya uchakavu, .. ya AC



Mi iyo takataka sinunui kamwe labda nidake Air cooler. Ila kwa Dar aircooler sio effective coz Humidity ni kubwa inafaa sana Dodoma uko na miko ilio mbali na Dar.

Yote 9 kumi aisee maisha magumu wazee, jumlisha na hii corona na siasa hizi dah hafu unakuta mtu haunywi pombe. Unapataje usingizi?
Kwa maombi tu kaka mbona unasoma zako zaburi 23 yote unatafakari kwa mda Kisha unaomba zako halafu ukijiangusha kitandani utaamka kwenye maombi ya kuanza siku tena
 
Leo tupeane ujuzi kuhusu AC aka viyoyozi je ni kweli huwa zinatumia unit hadi 35 hadi 40 kwa zikiwasha masaa 24?

Wenye AC mje mtupe ushuhuda huwa mnatumia vipi na huwa inatumia units ngapi kwa siku maana maneno ni mengi sana.

Najua wapo wengi tu wanatamani kuwa na AC ndani lakini tatizo ndo hilo kwamba wanaogopa gharama au hawajapata kufaham vizuri kuhusu AC.

Naombeni tujuzane.

AC yako unawasha kwa muda gani na huwa inakula units ngapi kila siku.

Gharama zake, ubora, nk.

Karibuni sana.
Kwa unit hizo labda zile za mochwari
 
Mimi nina AC chumbani na huwa nawasha chumba kikishapata ule ubaridi mzuri nazima nalala zangu. umeme wake sio kihivyo
 
Sio kweli...
WATANZANI wengi hujifanya wajuaji na wapenda sifa. Hawataki kujifunza matumizi sahihi ya umeme matokeo yake ni kuuliza maswali ya kipuuz
Ni life styles hapa si kitu kingine.
Kuna watu ofisi moja, mmoja anaenda kazini kwa daladala, mwingine kwa IST, na mwingine kwa Landcruiser.
 
AC sema zipo za ukubwa na aina mbalimbali. Kuna izi "power efficiency" inaweza kula units kidogo. Sasa itategemeana na vingi:

(1) umewasha masaa mangapi?
(2) joto unalotaka ishushe na hali ya hewa ya nje maana AC zikifika muda flan uwa zinajizima. Sasa kama nje joto 35 degrees wewe umeweka ifikishe 17 hapo kuzima sahau.
(3) size ya room
(4) aina, hali ya uchakavu, .. ya AC



Mi iyo takataka sinunui kamwe labda nidake Air cooler. Ila kwa Dar aircooler sio effective coz Humidity ni kubwa inafaa sana Dodoma uko na miko ilio mbali na Dar.

Yote 9 kumi aisee maisha magumu wazee, jumlisha na hii corona na siasa hizi dah hafu unakuta mtu haunywi pombe. Unapataje usingizi?
Ivi mkuu air cooler ina ubaridi kama wa ac?
 
Back
Top Bottom