Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Iliitwa Bongoland sababu ili ukae Bongo lazima utumie akili.
Sasa kwa akili za kawaida Nyalandu anaushawishi gani wa kisiasa mpaka kurudi kwake CCM iwe siku ya mkutano mkuu?
Kwamba hii leo akisimama jukwaani kuna mtanzania atamsikiliza na kumuelewa?
Kashfa kibao alipokuwa wizara ya Maliasili na utalii.
Ni aibu kwa CCM kumkaribisha kwa Shangwe mtu kama Nyalandu.
Ni siku kadhaa tu lazima tumkumbuke jemedari mpinga mafisadi.
Sasa kwa akili za kawaida Nyalandu anaushawishi gani wa kisiasa mpaka kurudi kwake CCM iwe siku ya mkutano mkuu?
Kwamba hii leo akisimama jukwaani kuna mtanzania atamsikiliza na kumuelewa?
Kashfa kibao alipokuwa wizara ya Maliasili na utalii.
Ni aibu kwa CCM kumkaribisha kwa Shangwe mtu kama Nyalandu.
Ni siku kadhaa tu lazima tumkumbuke jemedari mpinga mafisadi.