Haya ya Burundi hayana mvuto, 👂👂👂👂👂🇰🇪🇰🇪🇰🇪Hujasikia Burundi naye kajiunga na Kenya?
Hata kama wamepiga marufuku, hawawzi kudhibiti maeneo ya mipakani kama Vile njia Kati ya Kasenyi na kabale au Cankuzo na KAKONKO.... Warundi KILA siku wanaingia kununua nshundi. Huko kwao n njaaa. Hata Leo wataingiaBurundi nao wametangaza kupiga marufuku mahindi yote kutoka Tanzania kuingia nchini humo kutokana na tetesi ya kuwa yana sumu!
Source: BBC asubuhi ya leo.
Hata Abood naye Kagoma?Kiufupi mgomo ni wa kweli na wamiliki safari hii hawajapeleka mabus stand mengi yapo Yadi.
Subiri tupate taarifa kamiliHata Abood naye Kagoma?
Ana mabasi mangapi?Huu mgomo kama mzee baba leo angekuwepo chamwino sina hakika kama ungefanyika
Niko Maganzo-Shinyanga Frester ya Mwanza-Dar namba DUC imepita ikielekea DsmNyegezi wamegona pia Leo npo barabaDan sjapishna na bus hata moja zaid ya mwendokas baada ya kufika mbez
Mbona hujanitag sasaHii ni fursa kwa wachawi kusafirisha watu na nyungo
Niko Maganzo-Shinyanga Frester na Kidia One za Mwanza-Dar zimepita uolekeo DsmNyegezi wamegona pia Leo npo barabaDan sjapishna na bus hata moja zaid ya mwendokas baada ya kufika mbez
Hapa umeiacha Dunia sisi mimi pekee.Hii mambo no contravals kweli