Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,288
- 16,448
Kwa sisi runaoishi pwani samaki wa bahari ndio tunaona wenye ladha tamu kabisa.Bila shaka upo sawa kabisa mkuu nimeonja samaki kadhaa wa baharini hawajanibariki kivile.....ingawa kiafya wataalam wanashauri ulaji wa samaki hao sijui kwa nini.
Mie nilisifiwa sato lkn siku nilomla sijampenda hata kdg.
Na uzuri wa bahari sasa, mnapatikana aina nyingi sana ya samaki wenye ladha nzuri nzuri.
King fish mwenyewe. Huyu anafiti katika kila mapishi.
Changu.
Tasi.
Songoro.
Nduaro.
Kibua.
Dagaa.
Mzia.
Pweza.
Ngisi.
Kamba.
Lobsters. Na wengi wengiiii