Kuna mbasa,mbelele,na masangalafu achana nayo hasa ukiwapata frsh toka ziwan! Unawasafisha na maji ya ziwani mchemsho wake utavimbiwaMbasa ndo mpango mzima anapatikana Ziwa Nyasa
Mkuu upo china au hapo bongomimi huenda sokoni kununua carp au grass-carp...je Watanzania hula carp? ni samaki wa kawaida hapa China. nenda supermarket ya China, huko labda utakuta carp na grass carp.
Kambale sio mchezo.kambale
Mkuu hawajala nduaro haoWewe wasema!!! Yaani Yale madudu yananuka shombo balaa.... Hakuna samaki watamu kama wa Maji chumvi Narudia HAKUNA
Analiwa viziri tu. Nami nishakula sanaPomboo mbona aliwi mkuu
Karibu home Leo tule. Wapo tele kipindi hiki cha gizaMgebuka akipigwa roast ni tamu mno kwa pembeni ugali wa rowe. Full kujilamba yaani.
Asante sana,nimeshakaribia.Karibu home Leo tule. Wapo tele kipindi hiki cha giza
Kuhe.Salam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Unamaanisha Nguru.we au?Nguru wa kuchoma upate na kachumbari,acha kabisa,,,,,wazaramo mungu anawaona
Napenda hawa samaki halafu adimu kupatikanaBila Kitoga uzi haujanoga..
3. Nyika1.Sangara 2.Sato 3.Kuna Samaki mmoja niliwahi kula maeneo flani hivi Uvinza tulikuwa tunaita Samaki umeme,na wana umeme kweli maana walikuwa wanawapitisha wakiwa wametolewa ngozi ya nje ambayo ndio inasemekana ina moto......
Uko sahihi mkuu,nimelikumbuka hili jina...3. Nyika