Tujuzane: Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote?

wajapani wanapenda sanasana kula samaki wa bichi kama vile salmon, trout n.k. pamoja na sausi au mustard
sisi Wachina tungependa carp(kupikwa na sausi na pombe) na grass-carp(kupikwa na maji tu halafu kuweka mafuta na pilipili) [grass-carp kupikwa namna hii yaitwa 水煮鱼]
IMG_20190807_090538.jpg

☝☝☝salmon ya Kijapani
IMG_20190807_090251.jpg

☝☝☝啤酒鱼(carp yenye pombe)
Screenshot_2019-08-07-09-03-19-20.png

☝☝☝水煮鱼(grass-carp yenye mafuta)
 
mimi huenda sokoni kununua carp au grass-carp...je Watanzania hula carp? ni samaki wa kawaida hapa China. nenda supermarket ya China, huko labda utakuta carp na grass carp.

WHAT? CARP! HACK NOP! TOO MUCH OIL LIKE SALMON BESIDE, TOO MANY BONES
I PREFER WALLEYE BONELESS FILLET WITH WHITE COLOR,
CARP FOR CHINKY, THEY EAT EVERYTHING FLY AND WITH FOUR LEGS EXCEPT AN AIRPLANE AND DINING TABLE
 
Salam kwenu.

Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua

Je, ni samaki gani MTAMU kuliko wote? MTAJE!
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Kuna samaki anaitwa Kuhe. Anapatikana ziwa Tanganyika hasa maeneo ya Miyobozi kama unaenda Ilagala. Kwangu mm huyo ndiyo samaki mtamu sana duniani☺
 
Samaki watamu utawakuta maji baridi,hasa wilayani kyela. Kuna
1. Mbagale nafikiri anapatikana ziwa nyasa tu.
2. Ngolokolo (hawa ni wadogo wadogo) watamu balaa.
3. Mbelele-huyu wengi wanaweza wakawa wanamfahamu
4. Mbasa. Huyu ni samaki mkubwa analiwa mpaka utumbo
5. Ndio wapo wengine Ngosyola,mbufu.
N.B hawa samaki nafikiri wanapatikana ziwa nyasa tu mito yake
 
1.Sangara 2.Sato 3.Kuna Samaki mmoja niliwahi kula maeneo flani hivi Uvinza tulikuwa tunaita Samaki umeme,na wana umeme kweli maana walikuwa wanawapitisha wakiwa wametolewa ngozi ya nje ambayo ndio inasemekana ina moto......
 
Back
Top Bottom