Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Asalam alaikum.
Uzi huu uhusike kwa walengwa pekee kwa ajiri ya kupeana taarifa za kufikia tamati ya mfungo wa mwezi wa Ramadhan.
Kama mjuavyo asilimia kubwa ya waislam leo ni Ramadhan 29,so ni siku ambayo tunategenea muandamo wa mwezi kuanzia leo ima kesho Insha'Allah.
Tayari baadhi ya nchi zimeshatangaza kwamba kesho ni Eid ul fitr!(Australia,Singapore,Malaysia) wameshatoa taarifa za muandamo WA nwezi na inatarajiwa baadae UK nao wakatoa official announcement Insha'Allah.
Kwa sisi wa Africa mashariki pia inatazamiwa mwezi kuonekana leo baadhi ya maeneo Insha'Allah.
So kwa yeyote atakayepata taarifa za uhakika juu ya kuandama mwezi tupia hapa.
--------------------------------------------------
Updates za kuonekana kwa Mwezi jana mkoani Mbeya.
Fungua video hapo nchini kuona ushuhuda wa kuonekana kwa mwezi jana tar 24.june kuashiria sikukuu ya Eid ul Fitr leo tar 25.june.2017.
Eid Mubaraka.....
Minal aidin wal faidzin!
Uzi huu uhusike kwa walengwa pekee kwa ajiri ya kupeana taarifa za kufikia tamati ya mfungo wa mwezi wa Ramadhan.
Kama mjuavyo asilimia kubwa ya waislam leo ni Ramadhan 29,so ni siku ambayo tunategenea muandamo wa mwezi kuanzia leo ima kesho Insha'Allah.
Tayari baadhi ya nchi zimeshatangaza kwamba kesho ni Eid ul fitr!(Australia,Singapore,Malaysia) wameshatoa taarifa za muandamo WA nwezi na inatarajiwa baadae UK nao wakatoa official announcement Insha'Allah.
Kwa sisi wa Africa mashariki pia inatazamiwa mwezi kuonekana leo baadhi ya maeneo Insha'Allah.
So kwa yeyote atakayepata taarifa za uhakika juu ya kuandama mwezi tupia hapa.
--------------------------------------------------
Updates za kuonekana kwa Mwezi jana mkoani Mbeya.
Fungua video hapo nchini kuona ushuhuda wa kuonekana kwa mwezi jana tar 24.june kuashiria sikukuu ya Eid ul Fitr leo tar 25.june.2017.
Eid Mubaraka.....
Minal aidin wal faidzin!