Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,356
- 224,768
Namuunga mkono mdau mmoja pale juu amesema sabuni ya jamaa na maji ya chumviWewe unatumia nini?
Mimi sijafika maisha yako ya kutumia perfume za bei kalii..
Huwa natumia body sprays+splash.
Na huwa nachanganya, sometimes inatokea harufu nzuri mno.
Sprays zangu pendwa mara nyingi ni knowledge, chastity(zote mbili),Dolby,na NYINGINE nyingi nimezisahau majina.
Splashs ndio nyingi zaidi i.e secret of Lady, Sweet,za vanilla.
Nikikosa hizo sprays basi natumia yoyote tu kama Galaxy na adorable.
Kutokana na tatizo langu la kiafya(nina nasal polyps),, specialist wangu alishauri niache kabisa!ama nijikite kwenye nivea dry impact,na ndiyo ninayotumia Sasa.
Kuacha kabisa ni ngumu.
Huwa natumia pia udi na manukato fulani ya kiislamu,huuzwa msikitini..majina yake sijayakariri...
Kwa ushauri wa mambo ya perfumes muone Kiranga .
Huyu mtu ,kwa perfumes alizonazo,nadhani anajua aina tofauti tofauti ya harufu za perfumes.