Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Blue for men mzigo naukubali hauna harufu Kali ,harufu yake kuipata labda umsogelee mpakaji ,unapatikana kwa 20k za kibongo

images.jpg
 
Mkuu Blue 4Men umeitoa kwenye list yako ya perfumes zenye kiwango?

Nashindwa kuiacha nimekuwa najaribu nyengine nyengine ila sipewi sifa za nikitumia Blue,au napigwaga famba?
Blue for men ni hatari mjomba mara ya kwanza kuitumia ilikuwa kwa jamaa yangu tulikuwa hostel moja nikawa nagongea kila siku ....mm ndio niliimaliza parfume yake 😆😆 ,maana yeye alikuwa anatumia kidogo alikuwa anazo spray nyingi
 
Botega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Nimeinunua ...nitest mitambo....nizipopata demu ntakujiaaa
 
Vipi ukicheki inavyonukia? Iko vizuri? Umepokea compliments? (Nazungumzia hii Bleu de Chanel)
Yes, Mara nyingi watu huniambia, na pia huwa inakaa sana kwenye nguo, weekend huwa natoa nguo chafu kwenye tenga zikafuliwe nasikia harufu zake bado.

Lakini pia mimi situmii perfume throught the year, kuna muda nazichoka natumia deodorant tu.

Ila mie naipenda sana hiyo Givenchy kuliko hiyo nyingine.
 
Back
Top Bottom