cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,076
- 136,583
Bei gani hiiView attachment 1698227
It smells so good
Hata mm nilitaka kumuuliza hivyo hivyo sema umeniwahi akikujibu unitagUnajuaje wanageuka mkuu?..au mnakuwa kwenye uelekeo mmoja?..
Nimeona watu wengi wanaisifia inauzwa shilling ngap
Mbona niyachooni
Mafuta, soupMi nauliza ile harufu wazungu wananukia ni perfume au harufu ya ngozi zao maana wananukia hivyo karibia wote
Can I smell it?View attachment 1698227
It smells so good
Mkuu hii kitu ni mia??
Hata hujasema uongo ndugu yangu/yetuni bora kunukia perfume ya 40k lakin sio pombe ya 2k, au mnasemaje wadau.
Aisee mimi pia nahitaji kufahan huwa wananukia vizuri sanaMi nauliza ile harufu wazungu wananukia ni perfume au harufu ya ngozi zao maana wananukia hivyo karibia wote
Tupia bidhaa unayotumia hata haina shida #nivea_fresh natural.wale wa deodorant za nivea tunaruhusiwa kuwepo hapa?
890,000/=Hii inapatikana wapi kwa Bongo na bei gani kama vipi nijibu PM
Imesimama890,000/=
Hizo products za ZARA nitazipata wapi na kwa bei gani kwa hapa bongo?Zote nilizozitaja nimeshazitumia kwa nyakati tofauti na zipo makini sana vile harufu zake hazina makelele...
Kenneth Cole na Calvin Klein Euphoria for men, hizi ndio zaishia ishia...
Sasa hivi nimehamia kwa Zara Vibrant Leather (hii inanukia kama Creed Aventus sikuwa na mpunga wa kuafford Creed) na Zara Night Pour Homme II Sport Zara
View attachment 1696025
Shop #62 Dar Free MarketHizo products za ZARA nitazipata wapi na kwa bei gani kwa hapa bongo?