Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,676
- 11,110
Kitu hiyo
wadau wanasemaje ukiwa umejipulizia uo unyunyu,
Oya dukan gan kwa hapa dsm?? Kama upo dsm
Na bei??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Elfu Kumi, Unanukia Hadi Wanakusifia? Chai HiiNyingi zinazotajwa humu ni bei ghali, wale wenye maisha ya kawaida kama mimi nataka niwape perfume nzuri. Mchanganyiko ninaotumia mimi kila mtu lazima ausifie kuanzia masela ukija kwa wadada na wamama ndio balaa zaidi, almost wote ninaopishana nao lazima wasema nanukia vizuri. Nenda na elfu kumi yako kwenye duka la vipodozi then ulizia perfume inayoitwa Soft ambayo ni 4k au 5k kuringana na eneo utakaloenda baada ya hapo nunua spray inayoitwa Diable Blue kama ukikosa hii nunua spray inayoitwa Monaco. Amini usiamini huo mchanganyiko unatoa harufu nzuri sana.
Be gan?Achana na zile fake za buku 5 hii kitu inanukia kwenye nguo hata uifue mara 3View attachment 1383504
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah ndio kilo?Achana na zile fake za buku 5 hii kitu inanukia kwenye nguo hata uifue mara 3View attachment 1383504
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei yake n kiasi gan maana mm natumia ya buku5Soft
Nimecheka sanaElfu Kumi, Unanukia Hadi Wanakusifia? Chai Hii
nishawah kuchanganya ivo manz mmoja akanambia unanukia kimbuzi mbuzi,au nilikosea mixerNyingi zinazotajwa humu ni bei ghali, wale wenye maisha ya kawaida kama mimi nataka niwape perfume nzuri. Mchanganyiko ninaotumia mimi kila mtu lazima ausifie kuanzia masela ukija kwa wadada na wamama ndio balaa zaidi, almost wote ninaopishana nao lazima wasema nanukia vizuri. Nenda na elfu kumi yako kwenye duka la vipodozi then ulizia perfume inayoitwa Soft ambayo ni 4k au 5k kuringana na eneo utakaloenda baada ya hapo nunua spray inayoitwa Diable Blue kama ukikosa hii nunua spray inayoitwa Monaco. Amini usiamini huo mchanganyiko unatoa harufu nzuri sana.
Lacoste White ipo vizuri sana, harufu yake ni ile tulivu isiyo na makelele...leo nimepuliza Lacoste White (for men) naona naopishana nao wanageuka kuniakiki kama ni mtanzania mwenzao au nimetokea kwenye nchi za Corona