bazl
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 440
- 587
Mbona kama jini.View attachment 1469448
Tafuta hii perfume
Mbona kama jini.View attachment 1469448
Tafuta hii perfume
Umeinunua wapi. Kariakoo?Rebellion View attachment 1563540
Bei gani?Hatari sanaa huu unyama natamna mjiniView attachment 1620583
Hio sauvage ni perfume au spray?
25-30 kulingana na dukaBei gani?
Wanapatikana wapi au ni kipindi cha maonesho Tu?Tuzungumze ukweli jamani kwa sisi wa kipato cha kawaida kutoa malaki kununua perfume inataka ukaze sana roho.
Kama wewe ni mpenzi wa brand perfumes lkn kipato hakiruhusu unaweza kupata clone zake kwa harufu ile ile kwa bei ya chini na inalast 4 hrs hadi 7 kutegemea na mizunguko yako.
Kwa waluopo dar wanaweza kupita kwa wasyria wanauza perfume brand but kwenye chupa nyingine kwa elf 30 hadi 50 lakini ni quality nzuri utakuja kunishkuru baadae.
View attachment 1566915
Chupa yao inakuwa hivi
View attachment 1566916
75ml
wap wamejaa si hata hapo mliman city wapo.albait alidimashquieWanapatikana wapi au ni kipindi cha maonesho Tu?
Tofauti na mlimani city wapi kwingine naweza wapata.wap wamejaa si hata hapo mliman city wapo.albait alidimashquie
duhNilikuwa natumia cologne za Diamond ila kwa sasa nimeacha. Jamani Diamond inabidi akamatwe na kushitakiwa kwani ile cologne yake ilikuwa kila nikitumia napatwa na ukurutu nakuwa kama vile mgonjwa ukoma au mtu anayejichubua.
Perfume inaletaje ukurutu?Nilikuwa natumia cologne za Diamond ila kwa sasa nimeacha. Jamani Diamond inabidi akamatwe na kushitakiwa kwani ile cologne yake ilikuwa kila nikitumia napatwa na ukurutu nakuwa kama vile mgonjwa ukoma au mtu anayejichubua.
Hujuwi?Perfume inaletaje ukurutu?
Wewe ni mchafu tu.
Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?www.jamiiforums.com